TUPIGE KURA, TUPOKEE MATOKEO KWA AMANI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mail-moja.jpg)
JUMAPILI ya kesho, Oktoba 25, 2015, Tanzania inafanya Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Uchaguzi ni nini? Zipo tafsiri mbalimbali lakini mojawapo na iliyo wazi ni kwamba, ni njia ya kidemokrasia inayotumiwa na watu kuchagua viongozi wa kuwaongoza kwa kipindi fulani kwa mujibu wa Katiba au utaratibu waliojiwekea wenyewe. Huu ni Uchaguzi Mkuu wa Tano...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Tupige kura, tupokee matokeo kwa amani na utulivu, kuna maisha baada ya uchaguzi
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Modewjiblog: Hongera watanzania kupiga kura kwa amani na utulivu, sasa tujiandae kupokea matokeo!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Jumapili ya Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania tumeshuhudia wananchi wake wakipiga kura kuwachagua viongozi katika Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Uchaguzi huu wa amani na huru umeweza kufanyika katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, sasa hatua inayofuata ni ya Mamlaka husika ambao ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC na ZEC) kwa upande wa Zanzibar ambao ndio wenye majukumu ya kutoa...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Upigaji kura waendelea kwa amani na utulivu
WATANZANIA leo waliamka mapema na kuwahi katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wao watakaoliongoza taifa lao katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Misururu mirefu imeonekana katika maeneo mengi ya nchi hususani katika jiji la Dar es Salaam, hali inayoonesha kuwa watu wajejawa na hamasa kubwa ya kuchagua kiongozi wao kama walivyokuwa wakijitokeza katika mikutano ya kampeni.
Watu wengi wamejitokeza katika vituo mapema kabisa leo alfajiri ambapo vituo vilifunguliwa...
9 years ago
Habarileo04 Oct
RC ataka ushirikiano kura kupigwa kwa amani
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadiki amewataka waratibu wa uchaguzi, wasimamizi wa uchaguzi na viongozi wa vyama vya siasa katika mkoa huo kuhakikisha kuwa wanafanya kazi zao kwa ushirikiano ili kuwawezesha wananchi kupiga kura kwa amani na utulivu na kuepusha manung’uniko yasiyokuwa na maana.
9 years ago
Habarileo24 Oct
TOC: Wanamichezo pigeni kura kwa amani
KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC) imewataka wanamichezo wote wenye haki ya kupiga kura kujitokeza kwa wingi kesho kutumia haki yao ya kikatiba.
9 years ago
Vijimambo29 Oct
HIZI NDIZO SABABU YA KWANINI MATOKEO YA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO KURA ZILIZOPIGWA ZANZIBAR HAYAKUATHIRI KURA ZA NEC
![](https://zanzibarislamicnews.files.wordpress.com/2010/08/tume.jpg?w=570)
Katika uchaguzi wa Zanzibar, utaratibu ni kwamba Watanzania Zanzibar wanapiga kura 5, yaani Rais wa Zanz, Mwakilishi na diwani. Pia wanapiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge.
Kwenye kituo cha kupigia kura kuna meza 2. Moja ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) na nyingine ni ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Meza ya NEC ina watumishi wake na Meza ya ZEC ina watumishi wake.
Watumishi wa NEC wanaripoti moja kwa moja kwa NEC na watumishi wa ZEC wanaripoti moja kwa moja...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
ZOEZI LA UPIGAJI KURA LAENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI VISIWANI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lG1aR1G0H7I/ViyGUbay0CI/AAAAAAAICqo/WD_mLGd61w4/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LhVDVzuLxO0/ViyGUsTXCLI/AAAAAAAICqw/26puexUap9E/s640/unnamed%2B%252883%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u6PB_5_bkz4/XvY5ySoo_TI/AAAAAAALvmU/blDSaQ0v8-4VU5vaSxJif3UuPR5EtAJ3gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B6.29.34%2BPM.jpeg)
BAADA YA MIAKA 30 WOTE TUPIGE KELELE KWA LIVERPOOL YAKEE
Charles James, Michuzi TV
NI kama Ndoto! Wale wote waliokua wanatusimanga, wanatuponda na kutukejeli leo wametupost kwenye status za WhatsApp na mitandao mingine ya kijamii wakitupongeza.
Kwenye Radio na Televisheni, Magazeti na Mitandaoni stori ni moja tu mjinii, Liverpool ndio Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya England.
Subirio la miaka 30 limetimia, kiu yetu ya kubeba taji la England imekatika. Hakuna mwenye uthubutu wa kutukejeli tena "...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_3Jed9BoizA/Vix2HvaR9DI/AAAAAAAICmw/rHv5meJoR-0/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
ZOEZI ZA UPIGAJI KURA LAANZA NA KUENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-_3Jed9BoizA/Vix2HvaR9DI/AAAAAAAICmw/rHv5meJoR-0/s320/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-he795LIewXY/Vix2HuwTmCI/AAAAAAAICms/K4LBUBSDM1c/s640/unnamed%2B%252858%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FhaLxaqwIec/Vix2RlhasFI/AAAAAAAICnA/6VVQk4ZVofU/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uvvglijajvw/Vix2RlWdd9I/AAAAAAAICm8/NELVF55KrBw/s640/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U9-s16xF-WE/Vix_wS7iCOI/AAAAAAAICog/Lhbi_4OQ7Os/s640/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rS5WUx5n5UM/Vix_wWqdmYI/AAAAAAAICok/UJdYYpwK5yc/s640/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
Picha kwa hisani ya blogger Seria