Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baadhi ya wakenya kunywa maziwa, soda na vitafunio katika mazishi ya Moi?

Serikali ya Kenya itatoa viburudisho kwa waombolezaji 30,000 wa kwanza kufika katika mazishi ya rais wa zamani wa Kenya Daniel arap Moi siku ya Jumatano

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Daniel Toroitich arap Moi: Maelfu ya Wakenya na viongozi tofauti wahudhuria ibada ya mazishi katika uwanja wa Nyayo Nairobi

Maelfu ya Wakenya kutoka maeneo mbali mbali wamehudhuria ibada maalum ya kumuaga rais mstaafu Daniel Toroitich arap Moi katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Daniel Arap Moi: Je ni vipi wazee huzikwa katika jamii ya Tugen?

Mzee Moi ni mzaliwa wa jamii ya Tugen jamii inayopatikana katika eneo la bonde la ufa nchini Kenya. Kama mzee wa jamii alitakiwa kuzikwa kupitia njia ya kitamaduni, lakini kutokana na hadhi yake ya kiserikali, utamaduni huo hautazingatiwa kikamilifu.

 

11 years ago

Habarileo

Washauriwa kunywa maziwa ya mbuzi

WATANZANIA wameshauriwa kujenga tabia ya kunywa maziwa ya mbuzi, kutokana na kuwa maziwa hayo, yana ubora na ni mazuri kutumiwa hasa kwa watoto, wazee na wagonjwa wa vidonda vya tumbo wakiwemo wenye virusi vya Ukimwi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Watanzania wavivu kunywa maziwa’

Kila Mtanzania anatakiwa kunywa lita 200 za maziwa na siyo 46 za sasa kwa mwaka mmoja ili kuondoa sumu mwilini na kujenga afya imara, ilielezwa.

 

10 years ago

Habarileo

8 hoi kwa kunywa maziwa yenye sumu

WATU wanane wa familia tatu tofauti, wakiwemo wanafunzi wa shule ya msingi, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni ya Malkia wa Ulimwengu Puma wilayani Ikungi mkoani hapa baada ya kunywa maziwa yanayodhaniwa kuwa na sumu.

 

10 years ago

GPL

CHAMA CHA CCM IRINGA CHAWASHANGAA CHADEMA KUZUIA WANACHAMA WAKE KUNYWA MAZIWA

Katibu  wa  CCM  mkoa  wa Iringa, Bw.Hassan Mtenga.   CHAMA  cha mapinduzi (CCM) mkoa  wa Iringa chakishangaa chama cha demokrasia na maendeo (CHADEMA) kwa  kuwazuia  wanachama  wake  mjini Iringa  kunywa maziwa  ya  Asas Dairies Ltd Akizungumza na  waandishi  wa habari  ofisini  kwake jana katibu  wa  CCM  mkoa  wa Iringa  Hassan Mtenga  alisema ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa rais mstaafu

Mwili wa rais mstaafu wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi upo katika bunge ambapo Wakenya watatoa heshima zao za mwisho

 

5 years ago

BBCSwahili

Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa siku ya pili mfululizo

Milolongo mirefu yashuhudiwa katika majengo ya bunge Kenya kuutazama mwili wa Daniel Arap Moi

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandalizi ya mazishi ya rais mstaafu Daniel Arap Moi yanaendelea

Matayarisho yanaendelea kwa kasi katika shule ya Kabarak, kwenye boma la aliyekuwa rais Daniel arap Moi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani