Baba afungia ndani watoto 4 miezi 10
MWANAMUME mmoja mkazi wa Kijiji cha Msimba wilayani Uvinza, Kigoma, anashikiliwa na Polisi akidaiwa kufungia watoto wake wanne ndani ya nyumba na kuwashindisha njaa kwa takribani miezi 10.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El*55dTy0MioSJoUxV9DIPODaG3zzFksfYJAQxJ6kcwfkqfLxoRLE-NCS9w7D7ZeH5KV4D6AQK*OeO5B54ByHIfu/Back.jpg?width=650)
BABA MZAZI KANIBAKA MIEZI 2
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya/Risasi
BINTI mwenye umri wa miaka 12 aliyejitambulisha kwa jina moja la Irine, mkazi wa Mbagala-Charambe, Dar amesimulia tukio la kusikitisha akidai kubakwa na baba yake mzazi kwa muda wa takribani miezi miwili. Akilisimulia Risasi Jumamosi mkasa huo wa kusikitisha hivi karibuni nyumbani kwao maeneo hayo, binti huyo alisema kuwa baba yake aliyemtaja kwa jina moja la Israel alikuwa...
11 years ago
Habarileo25 Mar
Baba amnyonga mwanawe wa mwaka na miezi 7
MTOTO mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba, Henry Juma, amenyongwa na baba yake mzazi hadi kufa na kisha mwili wake kulazwa kitandani na mtuhumiwa kutokomea kusikojulikana.
10 years ago
Bongo504 Mar
Chris Brown ni baba wa mtoto mwenye miezi 9!
Chris Brown ni baba. Kwa mujibu wa TMZ, muimbaji huyo wa R&B ana mtoto wa kike mwenye umri wa miezi tisa. Mama wa mtoto huyo ni model wa zamani mwenye miaka 31 aitwaye Nia, ambaye amemfahamu Chris kwa miaka mingi. Nia na Chris wanadaiwa kuwa na maelewano lakini hawana uhusiano. TMZ imedai kuwa Breezy anafurahia […]
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F_TTi_urvgo/VdlO8XdjwsI/AAAAAAAAUEg/SxJ--N4E_Ks/s72-c/DSCF6892%2B%25281280x960%2529.jpg)
TANAPA YATANGAZA KAMPENI YA MIEZI SITA KUHAMASISHA UTALII WA NDANI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-F_TTi_urvgo/VdlO8XdjwsI/AAAAAAAAUEg/SxJ--N4E_Ks/s640/DSCF6892%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QOi_v6v-AjQ/VdlPBRePO7I/AAAAAAAAUEo/UyxcRPXWYmo/s640/DSCF6909%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QDW3fb-O-7I/VdlOqfB-PHI/AAAAAAAAUEY/ZQHnhG1j7Ms/s640/DSCF6891%2B%25281280x960%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zRCvoj_13v8/Xt9TSoyvC7I/AAAAAAALtJY/4WfYYItA2509BH9owJ9FSjHjMKExvMoNACLcBGAsYHQ/s72-c/615f8244-f63f-4ccb-ad5c-cfbe46d3e7c7.jpg)
MAHAKAMA ZA MWANZO GEITA ZASIKILIZA MASHAURI NDANI YA MIEZI MINNE
![](https://1.bp.blogspot.com/-zRCvoj_13v8/Xt9TSoyvC7I/AAAAAAALtJY/4WfYYItA2509BH9owJ9FSjHjMKExvMoNACLcBGAsYHQ/s640/615f8244-f63f-4ccb-ad5c-cfbe46d3e7c7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/440d9976-2ebb-4186-9483-ace52b1a7e59.jpg)
Jengo la Mahakama ya Wilaya ya Bukombe
********************************
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha – Bukombe
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bukombe, Mhe. Ainawe Moshi amesema kwamba Mahakama za Mwanzo katika Mkoa wa Geita zimejipanga kumaliza mashauri ndani ya kipindi cha miezi minne, licha ya utaratibu uliopangwa wa miezi sita.
...
11 years ago
Michuzi26 May
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Gr507tF21ck/UxNENuoAhxI/AAAAAAAFQjg/NHKqiQLDTn0/s72-c/b1.jpg)
BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI WAENDELA, KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
Kampuni ya Strabag International GmbH inayotekeleza ujenzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kivukoni jijini Dar es Salaam imetakiwa kuhakikisha kuwa inakamilisha ujenzi wa sehemu hiyo ndani ya kipindi cha miezi sita ijayo kama mkataba wao unavyoelekeza.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Magufuli alitoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam (Dar es Salaam Bus Rapid Transit - BRT)...
10 years ago
Bongo506 Sep
‘Sugua Gaga’ yaipiku ‘Number 1 remix’ kwa kupata views nyingi Youtube ndani ya miezi mitano
Hadi mwishoni mwa mwezi uliopita, video ya remix ya hit single ya Diamond Platnumz, ‘Number One’ aliyomshirikisha staa wa Nigeria, Davido ilikuwa ni video ya kwanza kutoka kwa msanii wa Tanzania kupata views nyingi zaidi ndani ya miezi chini ya sita. Hata hivyo rekodi hiyo sasa imevunjwa na video ya Shaa, Sugua Gaga, thanks kwa […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania