BABY MADAHA AFUNGUA KAMPUNI YA FILAMU

Msanii wa muziki na filamu, Baby Madaha amesema ukimya wake umesababishwa na uamuzi wake wa kuingia kwenye filamu na kuwa mzalishaji.
Baby amesema ameamua asiwe mtu wa kutegemea kuimba na kufanya filamu tu, bali pia ajishughulishe na shughuli nyingine.“Kiukweli muziki wa sasa hivi una changamoto kubwa sana, wasanii wachanga wameibuka na wanafanya vizuri sana. Kama mimi ninazo kazi nyingi ila sasa hivi nimeamua nisifanye muziki na filamu pekee. Nimefungua kampuni yangu ambayo inafanya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo508 Oct
Baby Madaha: Nimewekeza zaidi ya shilingi milioni 500 kwenye kampuni yangu ya filamu (Picha)
11 years ago
GPL
BABY MADAHA ATANGAZA KUACHA MUZIKI, FILAMU
10 years ago
Bongo Movies27 Aug
Baby Madaha Kujikita Kwenye Utayarishaji wa Filamu Baada ya Kazi Hii
Baby Madaha anajiandaa kutoa ngoma yake mpya ambayo huenda ikawa ni ya mwisho.
Muimbaji huyo ameimbia Bongo5 kuwa focus yake kubwa kwa sasa ni kuwa mtayarishaji wa filamu. “Nimeamua kujikita kwenye movie zaidi kuliko kwenye muziki,” amesema.
“Nitafanya na Allan Mapigo na nipo kwenye hatua za mwisho kuikamilisha. Baada ya Amore then Corazon nadhani ndio nitawaaga rasmi coz sasa nitaanza kuishi maisha mengine,” ameongeza.
Baby amedai kuwa ana mpango wa kuongeza ujuzi katika masuala ya...
11 years ago
GPL
BABY MADAHA
11 years ago
GPL
BABY MADAHA AUMBUKA
11 years ago
Michuzi11 Feb
11 years ago
GPL
BABY MADAHA: NIMEUMBUKA!
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
10 years ago
GPL
BABY MADAHA CHA WOTE?