Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baby Madaha Kujikita Kwenye Utayarishaji wa Filamu Baada ya Kazi Hii

Baby Madaha anajiandaa kutoa ngoma yake mpya ambayo huenda ikawa ni ya mwisho.

Muimbaji huyo ameimbia Bongo5 kuwa focus yake kubwa kwa sasa ni kuwa mtayarishaji wa filamu. “Nimeamua kujikita kwenye movie zaidi kuliko kwenye muziki,” amesema.

“Nitafanya na Allan Mapigo na nipo kwenye hatua za mwisho kuikamilisha. Baada ya Amore then Corazon nadhani ndio nitawaaga rasmi coz sasa nitaanza kuishi maisha mengine,” ameongeza.

Baby amedai kuwa ana mpango wa kuongeza ujuzi katika masuala ya...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Baby Madaha ataka ubunifu kwenye kazi

babyNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa filamu pamoja na muziki, Baby Madaha, amesema sanaa ya sasa inatakiwa kuwa na ubunifu, ili kuweza kufikia katika kiwango cha juu.
Akizungumza na MTANZANIA, Madaha alisema asilimia kubwa ya wasanii wanakuwa hawana ubunifu katika sanaa, kitu ambacho kinawafanya washindwe kufanya vizuri.
“Mashabiki wetu wameendelea sana na wanajua kitu bora na magumashi. Hivyo kwa sasa tunatakiwa tuendeleze ubunifu ili kuweza kuwagusa mashabiki wetu na hata kuwafikia...

 

9 years ago

Bongo5

Baby Madaha: Nimewekeza zaidi ya shilingi milioni 500 kwenye kampuni yangu ya filamu (Picha)

Muimbaji na muigizaji wa filamu, Baby Madaha amesema amewekeza zaidi ya shilingi milioni 500 kwenye kampuni yake mpya ya filamu. Baby Madaha akiwa katika moja ya maduka ya vifaa vya electronics jijini Dubai, UAE Baby ameiambia Bongo5 leo akiwa Dubai kwaajili ya manunuzi ya vifaa hivyo, kuwa amekuta bei ya vifaa vya uzalishaji wa filamu […]

 

10 years ago

Vijimambo

BABY MADAHA AFUNGUA KAMPUNI YA FILAMU

Msanii wa muziki na filamu, Baby Madaha amesema ukimya wake umesababishwa na uamuzi wake wa kuingia kwenye filamu na kuwa mzalishaji.
Baby amesema ameamua asiwe mtu wa kutegemea kuimba na kufanya filamu tu, bali pia ajishughulishe na shughuli nyingine.“Kiukweli muziki wa sasa hivi una changamoto kubwa sana, wasanii wachanga wameibuka na wanafanya vizuri sana. Kama mimi ninazo kazi nyingi ila sasa hivi nimeamua nisifanye muziki na filamu pekee. Nimefungua kampuni yangu ambayo inafanya...

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA ATANGAZA KUACHA MUZIKI, FILAMU

Na Gladness Mallya
IKIWA imepita miezi kadhaa tangu anaswe katika mtego  wa kujiuza na makachero wa OFM ya Global Publishers, staa wa Bongo, Baby Madaha ametangaza kuachana na sanaa ya muziki na filamu kwa maelezo kuwa amechoshwa na  maisha ya presha. Akistorisha na paparazi wetu juzikati jijini Dar es Salaam, Madaha alisema ishu ile imemsababishia matatizo makubwa ya kifamilia na hata kibiashara, hivyo kujutia mchezo...

 

10 years ago

GPL

BABY MADAHA, ISABELA KUONESHANA KAZI LEO

Msanii wa Bongo Fleva,Isabela Mpanda. Waandishi wetu
WASANII wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ na Isabela Mpanda leo wanatarajia kuoneshana kazi kwenye jukwaa moja katika Ukumbi wa Masai Club, Kinondoni jijini Dar. Wasanii hao ambao wamefanya ngoma kwa kushirikiana na nyingine kila mmoja akifanya peke yake, wanatarajia kutambulisha wimbo wao ambao wamemshirikisha legendary wa Bongo Fleva, Abdul...

 

9 years ago

MillardAyo

Mapaparazzi wakamnasa Mourinho kwenye hii video akiondoka uwanjani baada ya kufukuzwa kazi Chelsea

December 17 uongozi wa club ya soka ya Chelsea kupitia kwa mmiliki wake Roman Abramovich ulitangaza uamuzi wa kumfuta kazi kocha Jose Mourinho baada ya kuongoza Chelsea mechi 16 msimu huu, kufungwa tisa, kushinda nne na kutoa sare mechi tatu. Mourinho alipelekewa taarifa za kufutwa kwake kazi akiwa uwanjani akifanya mazoezi na timu ambapo Waandishi wa habari wasioacha tone la […]

The post Mapaparazzi wakamnasa Mourinho kwenye hii video akiondoka uwanjani baada ya kufukuzwa kazi Chelsea...

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA

Baby Joseph Madah. Na Waandishi Wetu AMA kweli maovu yanazidi kuongezeka, shetani naye mbioni siku zote kunasa waliyo wake, kauli hizo zote ziko sambamba na staa wa sinema za Kibongo na mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Baby Joseph Madaha amenaswa baada kuingia mkenge mtego wa kujiuza, Ijumaa limesheheni. Kumekuwa na skendo kuwa baadhi ya mastaa wa kike Bongo hujihusisha na biashara ya kujiuza ili kujipatia kipato na kufanya...

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kutoka Hijja: Majuto hafanyi tena filamu za aina hii

Muigizaji na mchekeshaji maarufu nchini, Alhaj Athumani King Majuto, amesema baada ya kwenda kuhiji Mecca, atakuwa hafanyi tena filamu ambazo ndani yake kutakuwa na matendo ya kumchukiza Mungu. “Sasa hivi filamu kama za kunywa pombe au kuna matukio ya kumchukiza Mungu siwezi kufanya,” Majuto ameiambia Bongo5. “Lakini ambazo zitakuwa hazima matukio kama hayo nitaendelea kufanya. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani