Baby Madaha: Nimewekeza zaidi ya shilingi milioni 500 kwenye kampuni yangu ya filamu (Picha)
Muimbaji na muigizaji wa filamu, Baby Madaha amesema amewekeza zaidi ya shilingi milioni 500 kwenye kampuni yake mpya ya filamu. Baby Madaha akiwa katika moja ya maduka ya vifaa vya electronics jijini Dubai, UAE Baby ameiambia Bongo5 leo akiwa Dubai kwaajili ya manunuzi ya vifaa hivyo, kuwa amekuta bei ya vifaa vya uzalishaji wa filamu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-96aukEFrjI8/VW8mL7oG5kI/AAAAAAABPtk/bAp-My9DALo/s72-c/madaha.jpg)
BABY MADAHA AFUNGUA KAMPUNI YA FILAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-96aukEFrjI8/VW8mL7oG5kI/AAAAAAABPtk/bAp-My9DALo/s640/madaha.jpg)
Baby amesema ameamua asiwe mtu wa kutegemea kuimba na kufanya filamu tu, bali pia ajishughulishe na shughuli nyingine.“Kiukweli muziki wa sasa hivi una changamoto kubwa sana, wasanii wachanga wameibuka na wanafanya vizuri sana. Kama mimi ninazo kazi nyingi ila sasa hivi nimeamua nisifanye muziki na filamu pekee. Nimefungua kampuni yangu ambayo inafanya...
9 years ago
Bongo Movies27 Aug
Baby Madaha Kujikita Kwenye Utayarishaji wa Filamu Baada ya Kazi Hii
Baby Madaha anajiandaa kutoa ngoma yake mpya ambayo huenda ikawa ni ya mwisho.
Muimbaji huyo ameimbia Bongo5 kuwa focus yake kubwa kwa sasa ni kuwa mtayarishaji wa filamu. “Nimeamua kujikita kwenye movie zaidi kuliko kwenye muziki,” amesema.
“Nitafanya na Allan Mapigo na nipo kwenye hatua za mwisho kuikamilisha. Baada ya Amore then Corazon nadhani ndio nitawaaga rasmi coz sasa nitaanza kuishi maisha mengine,” ameongeza.
Baby amedai kuwa ana mpango wa kuongeza ujuzi katika masuala ya...
11 years ago
Dewji Blog25 May
Mh. Mohammed G.Dewji (MO) amwaga msaada wa zaidi ya shilingi Milioni 127 kwenye Taasisi za Dini zaidi 80 Jimboni kwake
Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa.
Sheikh wa Mahakama ya Qadhi, Ramadhani Kaoja akimweleza Mheshimiwa Mbunge shughuli za Mahakama hiyo pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini , Hamis Nguli, wa pili kulia ni Katibu wa Mahakama ya Qadhi, Alhajj B. Mlau.
Mbunge...
11 years ago
Michuzi25 May
MH. MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI 80 JIMBONI KWAKE
![DSC_0025](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
![DSC_0133](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0133.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI YA 80 JIMBONI KWAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZEPChIkvGBwoqn2kuFgWkgfy8iBdmwgU8T7X-yPxsGqpM0aJbOjTSxZK9uNCPYAANNXDx**PySqya3thSadSKZ/BABYMADAHA2.jpg?width=650)
BABY MADAHA MAPENZI NI HOBI YANGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0-EsxdUUQQk25CNfMA1txMxQRfhDF-av5xEe7hD3l3owqv5SDnXTYzbGJpk-mA4xfwIHo-H3HmEmMMVh0nGzsJ/MADAHA.jpg?width=650)
BABY MADAHA ATANGAZA KUACHA MUZIKI, FILAMU
10 years ago
CloudsFM02 Apr
10 years ago
CloudsFM13 Nov
KAMPUNI YA BME IMEWEKEZA ZAIDI YA MILIONI 40 KWENYE MUZIKI WA AMINI
Hivi karibuni msanii wa Bongo Flava, Amini aliagwa rasmi na nyumba ya kukuza vipaji ya T.H.T ambako alikuwepo kwa zaidi ya miaka 10, kuanzia kufundishwa muziki hadi akaanza kutengeza pesa kupitia ngoma na album alizowahi kuachia.