Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti ya 2014/15 ni ya wananchi au wawekezaji?

WATANZANIA walitegemea bajeti ya mwaka 2014/15 italenga kupunguza mzigo wa kodi kwa wananchi masikini, kutengeneza ajira nyingi hasa kwa wanawake na vijana pamoja na kukuza uwekezaji wa ndani. Pia ilitegemewa kuinua maisha ya waishio...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014

>Baadhi ya wakazi wa mikoa mbalimbali nchini, wamedai kuwa bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyosomwa bungeni juzi mjini Dodoma na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, haiwezi kumkomboa mwananchi kutoka katika umaskini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti ya upinzani 2014/15 isipuuzwe

UKISOMA mawazo ya wanasiasa na watu wa kada mbalimbali kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015, utapata picha kuwa kuna kasoro kubwa sana katika bajeti hiyo pengine kuliko...

 

11 years ago

Mwananchi

Tucta yakerwa na Bajeti 2014/15

>Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limekosoa Bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/15, kutokana na kuongeza kodi ya bidhaa na kupunguza kwa asilimia moja tu kodi ya mishahara ya wafanyakazi (PAYE).

 

11 years ago

GPL

BAJETI 2014/15 CHAI MAOFISI YA SERIKALI NO

Stori: mwandishi wetu, dodoma
KATIKA kubana matumizi kutokana na ufinyu wa fedha, hasa zinazotoka kwa wahisani na wafadhili mbalimbali, serikali imeondoa baadhi ya mambo yasiyo na umuhimu katika utoaji wa fedha kwa wizara, ikiwemo unywaji wa chai maofisini. Waziri wa Fedha, Saada Mkuya alisema bajeti ya mwaka huu ni kiasi cha trilioni 19.6 na kwamba kutokana na miradi mbalimbali ya maendeleo kukwama kutokana na kutopatikana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya wapitisha bajeti ya 2014/2015

BARAZA la Madiwani katika Halmashauiri ya jiji la Mbeya limesema kuwa kiwango cha ukusanyaji wa mapato yatokanayo na kodi ya ushuru ya  majengo ni kidogo ikilinganishwa na hadhi ya jiji hilo pamoja wingi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti ya 2014/15 itambue sekta ya michezo

Bunge la bajeti linaanza kesho huku Serikali ikiwa imetoa mwelekeo wa bajeti ya mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni Sh19.6 trilioni, ikilinganishwa na Sh18.2 za Bajeti iliyopita.

 

11 years ago

Dewji Blog

Bajeti 2014/2015 yauma na kupuliza!

unnamed (33)

Mheshimiwa Saada Mkuya Salum (Mb), akiwasili Bungeni Mjini Dodoma kuwasilisha mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi  kwa Mwaka 2014/15 leo. 

Na MOblog Team, Dodoma

BAJETI mpya ya mwaka wa fedha ya 2014/2015 iliyopitishwa leo na Bunge la Bajeti mjini Dodoma, imeendelea kuwa chungu kwa watumiaji wa vinywaji mbalimbali nchini.

Baada ya serikali kuendelea kupandisha ushuru wa bidhaa za  vinywaji baridi, vilevi pamoja na bidhaa za tumbaku kwa kila bidhaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani