Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi aifunda Yemen

Balozi wa Yemen nchini Uingereza UK, Abdulla Ali al-Rahdi ameiambia BBC kwamba nchi yake itageuka uwanja wa vita

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na UK zafunga balozi zao Yemen

Marekani na Uingereza zimefunga balozi zao nchini Yemen kutokana na kudorora kwa usalama nchini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkwizu aifunda Sekretarieti ya Ajira

NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, ameitaka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kufanya kazi kwa ubora wa hali ya juu ili...

 

10 years ago

Mwananchi

THAMANI YA SHILINGI: Mtei aifunda Benki Kuu

>Gavana wa Kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Edwin Mtei  ametoa somo kwa benki hiyo kuinusuru shilingi isiendelee kuporomoka kwa kutumia akiba ya fedha za kigeni ilizonazo.

 

11 years ago

Mwananchi

Profesa Ibrahim Lipumba aifunda Chadema Dar

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetakiwa kuweka kando tofauti za kisiasa na kuunganisha nguvu zao, hasa katika kipindi hiki ambacho taifa lipo katika mchakato wa uundaji wa Katiba Mpya.

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN

Balozi Mpya wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Japan Balozi Batilda Buriani akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alipofika kuaga rasmi baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo na Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkaribisha Balozi Mpya wa Malawi Nchini Tanzania Bibi Hawa Ndolowe aliyefika Ofisini kwake kujitambulisha rasmi.
Balozi Seif akisalimiana na Gavana Mkuu wa Jimbo la Siustan na Balachestan...

 

10 years ago

IPPmedia

53 Tanzanians jet in from Yemen.


53 Tanzanians jet in from Yemen.
IPPmedia
The second batch of 53 Tanzanians has arrived in the country yesterday from the war-tone Yemen, making the total number of the returnees to 71 so far. The first batch of 18 Tanzanians arrived in the country April 21, 2015. Speaking when welcoming the 53 ...
50 return from war-torn YemenDaily News

all 3

 

9 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo Yemen yavunjika

Mazungumzo ya kutafuta amani na kusitisha vita vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Yemen yamevunjika.

 

10 years ago

BBC

US 'unaware' of second Yemen hostage

US forces who tried to free hostage Luke Somers from al-Qaeda in Yemen did not know the identity of his fellow detainee, a US official says.

 

10 years ago

Vijimambo

Rais wa Yemen ajiuzulu

Rais wa zamani wa Yemen, Abd Rabbuh Mansour Hadi akizungumza wakati wa kufunga mashauriano ya kitaifa mjini Sana'a
Rais wa zamani wa Yemen, Abd Rabbuh Mansour Hadi akizungumza wakati wa kufunga mashauriano ya kitaifa mjini Sana'a
Rais wa Yemen Abd Rabbuh Mansour Hadi na baraza lake la mawaziri walielezea kujiuzulu kwao. Hatua hiyo imekuja kufuatia vuguvugu la vita vya kisiasa kati ya Rais na wanamgambo wa Houthi ambao wameshambulia nchi tangu jumatatu.

Msemaji wa serikali ya Yemen mjini Washington, Mohammed Albasha alitangaza Rais wa Yemen aliyekumbwa na matatizo alijiuzulu kupitia mtandao wa kijamii hapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani