Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOZI CELESTINE MUSHY AMKABIDHI BALOZI TUVAKO MANAONGI MFANO WA KAHAWA AINA YA ARABICA NEW YORK

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestin Mushy akimkabidhi Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, mfano wa kahawa aina ya arabica ambayo imefungashwa vema tayari kwa soko la nje, kahawa hiyo inazalishwa na kufungashwa na Kampuni ya Kitanzania ya Panone and Company Ltd

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Balozi Mushy amuaga mwakilishi wa UNICEF nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akimkabidhi zawadi Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) nchini Dkt. Jama Gulaid aliyemaliza muda wake wa Uwakilishi nchini.

Moja ya zawadi alizopokea kutoka kwa Balozi Mushy ni Kitabu kinachoelezea Vivutio mbalimbali vya Utalii vinavyopatikana hapa nchini.

Pia katika mazungumzo yao, Balozi Mushy alimpongeza Dkt. Gulaid kwa kuiwakilisha...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Mushy akutana na Wawakilishi wa Nchi za G4 nchini Tanzania

Balozi Celestine Mushy, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiongea jambo wakati alipokutana na wawakilishi wa nchi za G4 hapa nchini ambazo ni India, Brazil, Ujerumani na Japan. Mwingine katika picha ni Bibi Ramla Khamis, Afisa katika Wizara ya Mambo ya Nje. Balozi Mushy na wawakilishi hao walijadili masuala ya mabadiliko katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambapo alisisitiza msimamo wa bara la Afrika wa...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AMKABIDHI CHETI CHA UTAMBUZI BWANA SAITOTI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji  ya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa pili Kutoka kulia) akimkabidhi cheti cha utambuzi Bwana Saitoti kumshukuru kwa kazi nzuri anayofanya ya kutafuta fedha Ubelgiji ya kusaidia kupambana na Umaskini Handeni Tanzania. Bwana Saitoti ametafuta fedha za kusaidia kutekeleza miradi ya maji Handeni. Balozi Kamala amekabidhi cheti hicho leo Ubelgiji- Antiwerpen. Balozi Kamala amesema kila mwaka Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji utakuwa unatoa vyeti mbalimbali vya kutambua kazi...

 

9 years ago

Mwananchi

Nigeria kuna soko la kahawa- Balozi

Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Daniel ole Njoolay amewataka Watanzania kuchangamkia fursa za biashara ya kahawa na chai nchini humo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Mulamula awaaga TAMCO rasmi, asema umoja na mshikamano wao ni mfano wa kuigwa na jumuiya zingine

Na Mwandishi wetu, Washington, DC

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na aliyekua Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula siku ya Jumapili July 12, 2014 alijumuika na wanajumuiya ya Kiislam ya DMV (TAMCO) katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na jumuiya hiyo na kutumia fulsa hiyo kuwaaga rasmi.

Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula  aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini Marekani ,...

 

10 years ago

Vijimambo

FUTARI NYUMBANI KWA BALOZI MWINYI NEW YORK


Naibu mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Matifa Mhe. Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akimkaribisha nyumbani kwake mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania New York Bwn. Hajji Kassim siku ya Jumapili June 21, 2015 siku Balozi Mwnyi alipofutarisha baadhi ya Watanzania waliopata mwaliko toka kwake na baadae Mhe. Mwinyi kuelezea futari ile itaendelea kufanyika nyumbani kwake kwa mwezi huu wa mfungo wa Ramadhan na atazidi kutoa mwaliko kwa Watanzania wa jimboni mwake kujumuika nae kwenye futari...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN

Balozi Mpya wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Japan Balozi Batilda Buriani akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alipofika kuaga rasmi baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo na Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkaribisha Balozi Mpya wa Malawi Nchini Tanzania Bibi Hawa Ndolowe aliyefika Ofisini kwake kujitambulisha rasmi.
Balozi Seif akisalimiana na Gavana Mkuu wa Jimbo la Siustan na Balachestan...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI LIBERATA MULAMULA AWAAGA TAMCO RASMI, ASEMA UMOJA NA MSHIKAMANO WAO NI MFANO WA KUIGWA NA JUMUIYA ZINGINE

Na Mwandishi wetu, Washington, DCKatibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na aliyekua Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula leo jioni siku ya Jumapili July 12, 2014 alijumuika na wanajumuiya ya Kiislam ya DMV (TAMCO) katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na jumuiya hiyo na kutumia fulsa hiyo kuwaaga rasmi.
Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula  aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini...

 

9 years ago

Michuzi

FLAVIANA MATATA ATEULIWA KUWA BALOZI WA UTALII NEW YORK CITY NCHINI MAREKANI

 Katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii Adelhelm Meru akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusiana na kumtambulisha Flaviana Matata  kuwa balozi wa utalii jimbo la New York City nchini Marekani. Kutoka kulia ni Flavianao Matata na kushoto Kaimu Mkurugenzi mwendeshaji Bodi ya Utalii TTB Devota Mdachi.Katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii Adelhelm Meru akimkabidhi cheti   cha kumtambua kuwa balozi wa utalii jimbo la New York City nchini Marekani Flaviana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani