BALOZI CELESTINE MUSHY AMKABIDHI BALOZI TUVAKO MANAONGI MFANO WA KAHAWA AINA YA ARABICA NEW YORK
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestin Mushy akimkabidhi Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, mfano wa kahawa aina ya arabica ambayo imefungashwa vema tayari kwa soko la nje, kahawa hiyo inazalishwa na kufungashwa na Kampuni ya Kitanzania ya Panone and Company Ltd
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Balozi Mushy amuaga mwakilishi wa UNICEF nchini
Moja ya zawadi alizopokea kutoka kwa Balozi Mushy ni Kitabu kinachoelezea Vivutio mbalimbali vya Utalii vinavyopatikana hapa nchini.
Pia katika mazungumzo yao, Balozi Mushy alimpongeza Dkt. Gulaid kwa kuiwakilisha...
10 years ago
MichuziBalozi Mushy akutana na Wawakilishi wa Nchi za G4 nchini Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7D3UxXI20_k/VDA77nLSGvI/AAAAAAAGn5I/FxL8iOjz3dI/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
BALOZI KAMALA AMKABIDHI CHETI CHA UTAMBUZI BWANA SAITOTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-7D3UxXI20_k/VDA77nLSGvI/AAAAAAAGn5I/FxL8iOjz3dI/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Nigeria kuna soko la kahawa- Balozi
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Balozi Mulamula awaaga TAMCO rasmi, asema umoja na mshikamano wao ni mfano wa kuigwa na jumuiya zingine
Na Mwandishi wetu, Washington, DC
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na aliyekua Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula siku ya Jumapili July 12, 2014 alijumuika na wanajumuiya ya Kiislam ya DMV (TAMCO) katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na jumuiya hiyo na kutumia fulsa hiyo kuwaaga rasmi.
Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini Marekani ,...
10 years ago
VijimamboFUTARI NYUMBANI KWA BALOZI MWINYI NEW YORK
Naibu mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Matifa Mhe. Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akimkaribisha nyumbani kwake mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania New York Bwn. Hajji Kassim siku ya Jumapili June 21, 2015 siku Balozi Mwnyi alipofutarisha baadhi ya Watanzania waliopata mwaliko toka kwake na baadae Mhe. Mwinyi kuelezea futari ile itaendelea kufanyika nyumbani kwake kwa mwezi huu wa mfungo wa Ramadhan na atazidi kutoa mwaliko kwa Watanzania wa jimboni mwake kujumuika nae kwenye futari...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s72-c/446.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s640/446.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUUQfzL_m08/VUtWDwYmJSI/AAAAAAAA8qo/9wUVpgBYG3k/s640/456.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xG9UXjRoONk/VUtWEr1lsjI/AAAAAAAA8q0/mS76wPhdk48/s640/458.jpg)
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AWAAGA TAMCO RASMI, ASEMA UMOJA NA MSHIKAMANO WAO NI MFANO WA KUIGWA NA JUMUIYA ZINGINE
Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini...
9 years ago
MichuziFLAVIANA MATATA ATEULIWA KUWA BALOZI WA UTALII NEW YORK CITY NCHINI MAREKANI