Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria kuna soko la kahawa- Balozi

Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Daniel ole Njoolay amewataka Watanzania kuchangamkia fursa za biashara ya kahawa na chai nchini humo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BALOZI CELESTINE MUSHY AMKABIDHI BALOZI TUVAKO MANAONGI MFANO WA KAHAWA AINA YA ARABICA NEW YORK

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestin Mushy akimkabidhi Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, mfano wa kahawa aina ya arabica ambayo imefungashwa vema tayari kwa soko la nje, kahawa hiyo inazalishwa na kufungashwa na Kampuni ya Kitanzania ya Panone and Company Ltd

 

11 years ago

Mwananchi

Kahawa mbichi inavyochafua soko Karagwe

Katika Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, kuna kitu kiitwacho ‘Soko la Haki kwa Kahawa’, ambacho ni matokeo ya uwekezaji katika kilimo hai, ukihimiza matumizi ya mbolea za asili katika kilimo.

 

11 years ago

Michuzi

JK afungua kituo cha afya na kukagua kilimo cha Kahawa Mbinga, afungua soko la kimataifa mkenda

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi kituo cha afya katika Gereza la Kitai wilayani Mbinga jana.Kushoto ni Mkuu wa Gereza hilo Alexander Richard Nyefwe.Kituo hicho kitatoa huduma kwa askari magereza,wafungwa na vijiji jirani Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi miche bora ya kahawa mkulima mdogo Bi Dorothea Komba wakati alipolitembelea na kukagua shamba la kahawa AVIV Farm linalomilikiwa na kampuni ya Olam katika kijiji cha Lipokela wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma...

 

10 years ago

Michuzi

BODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI

Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Adolf Kumburu akitoa neno wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa ,uzinduzi uliofanyika katika ukumbi wa mikutano ya Bodi ya TCB.Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Alhaj Dk Juma Ngasongwa akichangia wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa.Mwakilishi wa Cafe Africa nchini Tanzania ,Catherine Mwangata akifafanua jambo wakati akiwasilisha mtaala endelevu wa...

 

10 years ago

Michuzi

MONDAY, DECEMBER 1, 2014 BODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI

Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Alhaj Dk Juma Ngasongwa akichangia wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa.Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Adolf Kumburu akitoa neno wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa ,uzinduzi uliofanyika katika ukumbi wa mikutano ya Bodi ya TCB.Mwakilishi wa Cafe Africa nchini Tanzania ,Catherine Mwangata akifafanua jambo wakati akiwasilisha mtaala endelevu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Soko la Nguo lashambuliwa Nigeria

Kwa mujibu wa maafisa wakuu wa mlipuko wa bomu hilo ulitokea eneo ambako mizigo inapakiwa, katika soko la nguo la Kantini Kwari mjini Kano.

 

5 years ago

Michuzi

TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.

Kutoka Kushoto aliyeshika kipaza sauti ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mh. Brig. Gaguti, akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mh. Rashid Mwaimu, Mkuu wa wilaya ya Karagwe Mh. Godfrey Muheruka, Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Japhet Justine na mwenyekiti wa chama cha KDCU LTD Anselemi Alphonce.

Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....

 

10 years ago

Bongo5

Mnafikiria hatupendi na sisi kuandika LONDON, NIGERIA GET READY TONIGHT? sijui kuna kizuizi gani- Roma

Miongoni mwa ndoto alizonazo kila msanii ni pamoja na kuwa mwanamuziki mkubwa wa ndani na baadae kuvuka mipaka ya nyumbani na kutambulika nje. Roma amekiri kuwa miongoni mwa wasanii wenye ndoto hizo japo amekosa jibu la kwanini mpaka sasa hajaanza kupata mashavu kama ya Diamond ya kupata show za nje. Kupitia Instagram rapper huyo amezungumza […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria kufunga baadhi ya balozi zake

Nigeria inazingatia kufunga baadhi ya balozi zake ili kupunguza gharama, Rais Muhammadu Buhari ametangaza

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani