Balozi Mulamula azungumza na wanaDiaspora katika kongamano la mapambano dhidi ya gojwa la saratani duniani
Mhe.Liberatus MulamulaBalozi wa Muungano ya Jamhuri ya Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberatus Mulamula, alipozungumza katika kongamano la mapambano dhidi ya gojwa la saratani duniani, aliwataka wanaDiaspora wa nchi za kiAfrika kuwa mstari wa mbele kwa kushirikiana na watalaamu wa vitengo vya afya duniani ili kuboresha upatikana wa huduma za afya barani Afrika. Mhe. Balozi Mulamula, ambaye pia ndie aliyekuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo alizungumzia faida za kutumia Teknolojia ili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Sp4P1tYLLXA/VeokIfcjFGI/AAAAAAAAhps/tKYrWbOaTJM/s72-c/DSC_0131.jpg)
WANADIASPORA WAHIMIZWA KUCHOCHEA MAENDELEO, BALOZI MULAMULA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sp4P1tYLLXA/VeokIfcjFGI/AAAAAAAAhps/tKYrWbOaTJM/s640/DSC_0131.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-5K9UxoRWN2o/VbtBDbIr7oI/AAAAAAAD13w/HieDpZkcNPo/s72-c/Balozi%2BMulamula%2BJUKWAA%2BAD.jpg)
BALOZI LIBERATA MULAMULA KUAGANA NA WANADIASPORA LIVE NDANI YA STUDIO YA KILIMANJARO JUMATATU
![](http://1.bp.blogspot.com/-5K9UxoRWN2o/VbtBDbIr7oI/AAAAAAAD13w/HieDpZkcNPo/s640/Balozi%2BMulamula%2BJUKWAA%2BAD.jpg)
Piga simu 240 281 0574 utuambie ni nini maoni yako kwa...
10 years ago
VijimamboBalozi Mulamula azungumza na Balozi wa Ufaransa nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akimsikiliza Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Malika Berak, alipokuja kujitambulisha na kumpongeza Balozi Mulamula kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu. Pia walizungumzia masuala mbalimbali ya kimaendeleo na kukuza mahusiano ya kibiashara kati ya nchi hizi mbili
Katibu Mkuu Balozi Mulamula akimwonyesha Balozi Berak Kitabu kinachozungumzia maendeleo ya Mji wa Kilwa
.
Afisa Mambo ya Nje, Bi. Felisita...
11 years ago
Michuzi21 Jul
MH.BALOZI MULAMULA AZUNGUMZA NA WAGOMBEA WA DMV NA KAMATI YA UCHAGUZI
![IMG_8020](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/07/img_8020.jpg?w=714)
![IMG_7900](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/07/img_7900.jpg?w=714)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLnFR9aDeWc/XsUU-Z2iccI/AAAAAAALq8E/AYy-wbLfgWIcvEsUcIuhZsPvX-XNZ7z-ACLcBGAsYHQ/s72-c/eb242f8c-1f4b-45fe-baa4-53379fdea120.jpg)
MSIBWETEKE KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA.
Na WAMJW- DSM
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito kwa wananchi, hususan Jijini Dar es Salaam kutobwete na kuwataka kuendelea kuchukua hatua za tahadhari ili kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona katika kipindi hiki.
Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito huo leo, wakati akipokea msaada wa barakoa 17,500 sawa na maboksi 350, na vipukusi (sanitizers) lita 700 ambayo ni sawa na madumu 140 yenye ujazo wa lita 5 kutoka kwa Shirika lisilo Lakiserikali la...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o3HFykFkeW8/VTwfDNBdBcI/AAAAAAAHTUY/hJVjkYkGjG4/s72-c/unnamed%2B(20)%2B-%2BCopy.jpg)
IPTL/PAP ya wekeza katika mapambano dhidi ya Malaria
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
IPTL/PAP yawekeza katika mapambano dhidi ya Malaria
Kina mama wajawazito na watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano ni sehemu ya walengwa wakuu wa msaada wa vyandarua vyenye viwatilifu ulipotolewa na makampuni ya IPTL na PAP. Hapa kina mama wenye watoto wadogo wakiwa kwenye foleni ya kupokea msaada kata ya Wazo.
Kina baba hawakuwa nyuma katika kuunga mkono jitihada za kupambana na Malaria kwa kuungana na kina mama kupokea msaada wa vyandarua vyenye viwatilifu uliotolewa na Kampuni za IPTL/PAP katika kata za Wazo na Kundunchi.
Mama huyu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-15rQVRsEYcw/XufhK33PpuI/AAAAAAALt9c/TbwTzq61BBcRtIwzUWSpF5pziqWLg3xkwCLcBGAsYHQ/s72-c/68648486-6690-44fa-9a86-ac150194a1fa.jpg)
SERIKALI IMEENDELEA KUTEKELEZA MAKUBALIANO YAKIMATAIFA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VVU.
![](https://1.bp.blogspot.com/-15rQVRsEYcw/XufhK33PpuI/AAAAAAALt9c/TbwTzq61BBcRtIwzUWSpF5pziqWLg3xkwCLcBGAsYHQ/s640/68648486-6690-44fa-9a86-ac150194a1fa.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akieleza jambo, wakati wa kikao cha Kamati za Kudumu za Bunge za Masuala ya UKIMWI na Huduma za Maendeleo ya Jamii kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa makubaliano ya kimataifa ya afua za kinga dhidi ya maambukizi ya VVU.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b2f217cb-8535-4d6b-a6d5-bf7969593d84.jpg)