Balozi Mwapachu arudisha kadi atangaza kujiunga Ukawa
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na kada wa CCM, Balozi Juma Mwapachu leo amerudisha kadi ya uanachama katika ofisi za CCM Kata ya Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9c5*5AOU99RsYu5J3RLb2BH5udi5ixnYOxSsGlSZk6sfo-q4w9JJFImMAg*Fwk-T1qf-qsuwaOgqkQIEzYcCvqB/Mwapachu2.jpg?width=650)
BALOZI MWAPACHU ARUDISHA RASMI KADI YA CCM
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Mwapachu arudisha kadi ya CCM, Tanu
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu, amerejesha rasmi kadi za Chama cha Tanu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kadi hizo alizirudisha katika ofisi za chama hicho zilizopo eneo la Mikocheni A jijini Dar es Salaam jana na kuzikabidhi kwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Kata ya Mikocheni, Sudi Odemba.
Mwapachu ambaye ni kada mkongwe wa chama hicho, alisema kadi ya Tanu yenye namba 819820 aliipata Aprili 6,...
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Lowassa atangaza rasmi kujiunga na Ukawa
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-fNHRmndF5M8/VgLSCjGS8sI/AAAAAAAACoI/JJVYu8kAUew/s72-c/OTH_0058.jpg)
LINDI WAONYESHA MAHABA YA DHATI KWA LOWASSA, WANACCM ZAIDI YA ELFU 3 WA JIMBO LA MTAMA WARUDISHA KADI NA KUJIUNGA UKAWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fNHRmndF5M8/VgLSCjGS8sI/AAAAAAAACoI/JJVYu8kAUew/s640/OTH_0058.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6SpK2tG4Hec/VgLUHMyl6EI/AAAAAAAACqQ/iRPpVAgI6cM/s640/OTH_0386.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3SHzl5wI_vw/VgLT3O1UdWI/AAAAAAAACp4/5igt-QG3MMo/s640/OTH_0289.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Dg5C_jWSmNQ/VgLT7sdkDTI/AAAAAAAACqI/HHb_gc022Wo/s640/OTH_0338.jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Balozi Mahiga akabidhiwa mikoba ya Balozi Mwapachu
9 years ago
TheCitizen15 Oct
Let's vote for Ukawa's landslide victory: Mwapachu
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Balozi Juma Mwapachu ajitoa uanachama CCM
9 years ago
Vijimambo14 Oct
BALOZI JUMA MWAPACHU KUJIVUA RASMI UANACHAMA CCM KESHO
![](https://pbs.twimg.com/profile_images/486463319893499904/q7fom1nR.jpeg)
Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha yangu ambayo yanahusu uanasiasa wangu. Mimi ni mwanachama wa CCM tangu mwaka 1967 wakati nilipojiunga na TANU Youth League. Nimepata fursa ya kuwa kiongozi ndani ya Chama hiki. Lakini kuanzia kesho mimi si mwanachama wa CCM tena. Natoa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar14 Oct
TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM
Juma Mwapachu Ndugu zangu, Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha […]
The post TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM appeared first on Mzalendo.net.