Balozi: Uhusiano wa Tanzania na Rwanda ni mzuri
SERIKALI ya Rwanda imesema uhusiano wake na Tanzania ni mzuri na kwamba hakuna chokochoko zinazofanywa na upande wowote. Balozi wa Rwanda, Ben Rugangazi alitoa msimamo huo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu kumbukumbu ya miaka 20 ya mauaji ya kimbari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyrw-bPDMEPB55TR4UUpvIHjn4CPULQDWH3W5SNPFHSZVi3aP6xcCMTGLIFCFApgZsaMc*HwOxrRafktoZBxVJl/Pichana1.jpg?width=650)
RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA BALOZI WA RWANDA NA NORWAY, AMWAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI RWANDA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
JK mwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, apokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uQIpha_l4mE/VA9LaUXpTzI/AAAAAAAGiSY/Uuz7cxvcCv4/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Chadema wahoji uhusiano Tanzania, Rwanda
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Botswana nchini Tanzania Ikulu Dar, akutana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana, aliyefika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana,...
11 years ago
Habarileo30 Dec
DC ahimiza uhusiano mzuri wakulima, wafugaji
WAKULIMA na wafugaji wilayani Sikonge mkoani Tabora wametakiwa kushirikiana na kuendeleza uhusiano mazuri baina yao kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
11 years ago
Michuzi02 Jul
RAIS KAGAME WA RWANDA AZUNGUMZIA UHUSIANO WA NCHI YAKE NA TANZANIA, ASEMA NI MATAIFA NDUGU NA YATAENDELEA KUWA HIVYO
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Rais Kikwete amwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, Balozi Ally Iddi Siwa jana Ikulu jijini Dar es salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8YvkhgWXPhU/U_z1GgeAOII/AAAAAAAGClY/ufZZ2RA74OQ/s72-c/New%2BPicture.bmp)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Fefwbb4Fs9Q/VFCeKD4j9cI/AAAAAAAGt-k/SANyUZ4t31Y/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akutana na Balozi Mteule wa Tanzania Nchini Rwanda
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema hayo wakati akizungumza na Balozi Mteule wa Tanzania Nchini Rwanda Balozi Said Ali Siwa aliyekuja kuaga rasmi baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo na Rais wa Jamuhuri ya...