Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi wa Ireland akutana na Kinana

01

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Balozi wa Ireland nchini Fionnuala Gilsenan ofisini kwake leo februari 9,2015 jijini Dar es Salaam.

02

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na  Balozi wa Ireland nchini Fionnuala Gilsenan ofisini kwake jijini Dar es Salaam (Picha na Adam Mzee).

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BALOZI WA IRELAND NCHINI AMTEMBELEA KINANA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Balozi wa Ireland nchini Fionnuala Gilsenan ofisini kwake jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Ireland nchini Fionnuala Gilsenan ofisini kwake jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiagana na Balozi wa Ireland nchini Fionnuala Gilsenan ofisini kwake jijini Dar es Salaam(Picha zote na Adam Mzee)

 

5 years ago

Michuzi

PROF. KABUDI AKUTANA, KUMUAGA BALOZI WA IRELAND NCHINI TANZANIA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi akimkabidhi zawadi ya picha ya mlima Kilimanjaro Balozi wa Ireland nchini, Mhe. Paul Sherlock katika Ofisi ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam
Balozi wa Ireland nchini, Mhe. Paul Sherlock akimuonesha moja ya picha katika kitabu alichompatia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi kama zawadi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akimkaribisha kwa furaha, Balozi wa Uingereza hapa nchini, Dianna Melrose, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam,  leo June 9, 2014.  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, na Balozi  huyo wa Uingereza hapa nchini, Dianna Melrose, wakipena mikono kabla ya kuanza mazungumzo yao, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam, June 9, 2014. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana,...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA DAR

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia), akimkaribisha Balozi wa Rwanda hapa nchini, Eugene Kayihura, kabla ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo)

 

11 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akutana na Balozi wa Uingereza nchini Bi. Dianna Melrose

2. Katibu Mkuu wa CCM akimkaribisha kwa furaha, ofisini kwake, Balozi wa Uingereza nchini Dianna Melrose

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akimkaribisha kwa furaha, Balozi wa Uingereza hapa nchini, Dianna Melrose, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam,  leo June 9, 2014.

3. Katibu Mkuu wa CCM akimkaribisha ofisini kwake, Balozi wa Uingereza nchini Dianna Melrose

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, na Balozi  huyo wa Uingereza hapa nchini, Dianna Melrose, wakipena mikono kabla ya kuanza mazungumzo yao, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam, June 9, 2014.

4. Katibu Mkuu wa CCM akizungumza na Balozi wa Uingereza nchini Dianna Melrose

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza...

 

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AKUTANA NA WABUNGE KUTOKA IRELAND

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Ireland Nchini Tanzania Bibi Fionuala Gilsenan akiongoza ujumbe wa Wabunge wa Ireland walipofika Ikulu Mjini Unguja leo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Balozi wa Ireland Nchini Tanzania Bibi Fionuala Gilsenan (wa pili kulia) akiwa na ujumbe wa Wabunge wa Irelenad walipofika Ikulu Mjini Unguja leo kwa mazungumzo , [Picha na...

 

10 years ago

Michuzi

Dkt. Shein akutana na Waziri wa Nchi,Maendeleo,Biasharana Ushirikiano wa Ireland

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiri wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Nchi Maendeleo,Biashara na Ushirikiano wa Ireland Bw.Sean Sherlock wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Ujumbe aliofuatana nao. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiri wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Waziri wa Nchi Maendeleo,Biashara na Ushirikiano wa Ireland Bw.Sean Sherlock wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Ujumbe aliofuatana nao.[Picha na...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA IRELAND

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Waziri Mkuu wa zamani wa Ireland Mhe. Albert Reynolds. Kitabu hicho kimefunguliwa leo katika Ubalozi wa Ireland Ubelgiji.

 

5 years ago

Michuzi

BALOZI KANALI IBUGE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KAIMU BALOZI WA PAKISTAN


Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akisalimiana na Kaimu Balozi wa Pakistan nchi Bw. Mohammad Saleem alipowasili katika Ofisi za Makao Makuu ya Wizara jijini Dodoma. Wawili hao wamejadili masuala mbalimbali ya kudumisha na kukuza uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili.

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge na Kaimu Balozi wa Pakistan nchi Bw. Mohammad...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani