Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barafu: Jamani Sijaenda Mombasa Kuoa

Staa wa Bongo Movies, Barafu Suleiman amezitolea ufafanuzi picha za harusi zilizozagaa mitandaoni ambazo amepiga akiwa Mombasa nchini Kenya zikimuonyesha anafunga ndoa kitendo ambacho kimemletea matatizo kwenye familia yake kwani sio kweli ameoa bali ni kazi mpya wanayoifanya huko Mombasa.

"Samahani ngugu zangu mashabiki zangu kuna picha za harusi zimeenea kwenye mitandao ya kijamii zinanihusu Mimi kuoa.kwakweli sijaowa ni movie tu tunaifanya Mombasa Mimi Riyama na Mzee Chiro na wasanii wa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Barafu: Jamani Sijaenda Momabasa Kuoa

Staa wa Bongo Movies, Barafu Suleiman amezitolea ufafanuzi picha za harusi zilizozagaa mitandaoni ambazo amepiga akiwa Mombasa nchini Kenya zikimuonyesha anafunga ndoa kitendo ambacho kimemletea matatizo kwenye familia yake kwani sio kweli ameoa bali ni kazi mpya wanayoifanya huko Mombasa.

"Samahani ngugu zangu mashabiki zangu kuna picha za harusi zimeenea kwenye mitandao ya kijamii zinanihusu Mimi kuoa.kwakweli sijaowa ni movie tu tunaifanya Mombasa Mimi Riyama na Mzee Chiro na wasanii wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

9 years ago

Mtanzania

Barafu amfagilia Riyama

riyama_allyNA SHARIFA MMASI

MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Suleiman Said ‘Barafu’, ameamua kumfagilia msanii mwenzake wa tasnia hiyo, Riyama Ally, kwamba ndiye anayeitendea haki kazi yake ya sanaa kutokana na umahiri anaoufanya anapoigiza mambo mbalimbali.

“Napenda sana kazi za Riyama Ally, huyu dada kwanza anajielewa na kutambua kitu anachofanya, hasa awapo mbele ya kamera,” alisema Barafu.

Barafu anasema ipo haja ya waigizaji wa kike kuzifuatilia kazi za msanii huyo ili wajifunze mbinu anazotumia...

 

10 years ago

Michuzi

Barafu yaanguka katika maeneo ya DMV

Embedded image permalink
Na Abou Shatry DMV 

Kama vile matangazo ya hali ya hewa yalivyo tolewa mwazoni mwa wiki hii na National Weather Service, katika maeneo mbali mbali ya hapa DMV kwamba  hali ya hewa itazidi kuwa baridi na kutegemea kuanguka  theluji ya inches mbili hadi tatu  katika maeneo mbali mbali hapa DMV
Theluji hiyo iliotarajiwa kuanguka mapema mapema mida asubuhi 6: AM ya leo Jumanne Jan,6 na kutegemea kusimama kuanguka mida ya 11:AM ya Saa tano mchana . 
Aidha maeneo mbali mbali ya barabara kuu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Karibu Sochi kwenye michezo ya barafu

Mashindano yaliyo gharimu Kitita kikubwa zaidi katika historia ya Olimpiki yatafunguliwa Urusi leo huku medali 98 ziking'ang'aniwa katika siku kumi na sita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aganda katika barafu akimtafuta mpenziwe

Raia mmoja wa Uturuki aliganda na kuwa barafu baada ya kujaribu kuingia ndani ya ndege ili kwenda kumuona mpenziwe

 

9 years ago

Bongo Movies

Barafu:Tunatatafuta Raisi wa Tanazania Sio wa Bongo Movies

Mi naona wenzetu wameamua kuchukua majina ya movie zao ndio waje kutuchanganya nao eti mama ongea na mwanao mala nimestuka eti kibajaji si majina ya movie hayo acheni utani tunatafuta raisi Wa Tanzania sio Wa bongo movie acheni maigizo yenu ila watanzania wameshaamua team mabadiliko 2015

Barafu Suleiman @barafusuleiman on instagram

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz)

Kama kuna vitu vinayakimbiza maisha kwenye kasi ya ajabu, basi teknolojia nayo imo… uliipata ile ya Lexus iliyotengenezwa kwa mabox, ikafungwa mota alafu ikaingia barabarani na kutembea kama gari tulizozoea? Sasahivi nimekutana na hii ambayo jamaa wamekaa zao chimbo kubuni tu kitu tofauti… kilichobuniwa ni matairi yaliyotengenezwa kwa barafu, ubunifu umefanyika London Uingereza na kampuni […]

The post Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz) appeared first...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani