Barakoa inayoendeshwa na rimoti
Israel imezindua barakoa ya kutumia rimoti
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziUKOMO WA BEI YA BARAKOA HADHARANI, VIWANDA VYA NGUO NCHINI KUTENGENEZA BARAKOA ZAIDI
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amesema atachukua hatua kwa Taasisi zisizo za kiserikali (NGOs) zinazouza barakoa kwa gharama kubwa.
Bashungwa alitoa taadhari hiyo mkoani Arusha alipotembelea Viwanda vya kuzalisha nguo vya Sunflug na A to Z kuangalia hali ya uzalishaji wa barakoa katika Viwanda hivyo.
Bashungwa alitoa onyo kwa NGOs zilizoomba kibali cha kuzalisha barakoa kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania lakini badala yake wanauza barakoa kwa shillingi 2,500 hadi...
Bashungwa alitoa taadhari hiyo mkoani Arusha alipotembelea Viwanda vya kuzalisha nguo vya Sunflug na A to Z kuangalia hali ya uzalishaji wa barakoa katika Viwanda hivyo.
Bashungwa alitoa onyo kwa NGOs zilizoomba kibali cha kuzalisha barakoa kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania lakini badala yake wanauza barakoa kwa shillingi 2,500 hadi...
5 years ago
MichuziKIKUNDI CHA BARAKOA TZ CHAGAWA BARAKOA BURE ZAIDI YA 1000 MAENEO MBALIMBALI IKIWEMO VITUO VYA WATOTO YATIMA
Janga la ugonjwa wa virusi vya COVID-19 umeleta uhaba ya bidhaa nyingi humu nchini zikiwemo Barakoa. Rania Nasser ambaye ni mwanafunzi wa sekondari aliunda kikundi kinachojulikana kama Barakoa Tz cha kutengeneza na kugawa barakoa bure kwa wale wenye uhitaji. Nia yake kubwa ilikuwa ni kutengeneza barakoa nyingi na kuzigawa bure kwenye vituo vya polisi vilivyo karibu na nyumbani kwao bure kabisa.
Baada ya wiki moja, uhitaji wa barakoa uliongezeka maradufu na hivyo akaona umuhimu wake...
Baada ya wiki moja, uhitaji wa barakoa uliongezeka maradufu na hivyo akaona umuhimu wake...
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Tume ya Uchaguzi inaendeshwa kwa ‘rimoti’?
Mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na vyama vya siasa uliofanyika katikati ya wiki umethibitisha hofu yetu tuliyoielezea awali kwamba tume hiyo isipojitambua na kuacha ubabaishaji na kauli zinazokinzana, itavuruga mchakato mzima wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 na kusababisha vurugu.
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Teknolojia ya Smart house: Nyumba zinazotumia rimoti, simu za mkononi
Unapokuwa nje ya nyumba yako hasa ikiwa imesheheni vitu vingi vya gharama, akili hushindwa kutulia kwa kujiuliza maswali mengi kuhusu usalama wa vitu hivyo.
10 years ago
Vijimambo21 Jan
PROGRAMU MAALUMU KWA WASICHANA INAYOENDESHWA NA CHUO KIKUU HURIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-y3E-F2NmsVU/VQlMkfdD0NI/AAAAAAAAEig/ZTVRVojkQfg/s72-c/amis.jpg)
MIFUKO YA UWEKEZAJI WA PAMOJA INAYOENDESHWA NA UTT AMIS YAPATA FAIDA KUBWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-y3E-F2NmsVU/VQlMkfdD0NI/AAAAAAAAEig/ZTVRVojkQfg/s1600/amis.jpg)
UTT AMIS ndiyo waendeshaji na waanzilishi wa mifuko ya uwekezaji wa pamoja nchini.Mpaka sasa wanaendesha mifuko mitano ya uwekezaji ambayo ni Mfuko wa Umoja, Mfuko wa wekeza Maisha,Mfuko wa Watoto, Mfuko wa Kujikimu na Mfuko wa Ukwasi yenye zaidi ya shilingi bilioni 227.
Bwana Migangala aliwaambia waandishi wa...
10 years ago
Michuziuzinduzi rasmi wa kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 inayoendeshwa na Kilimanjaro Premium Lager
10 years ago
GPLPROGRAMU MAALUMU KWA WASICHANA INAYOENDESHWA NA CHUO KIKUU HURIA NA NAFASI OPPORTUNITY SOCIETY(NOS) YAZINDULIWA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel (wa tatu kutoka Kulia) akifurahi jambo katika uzinduzi wa mafunzo ya wasichana yaliyojikita katika mafunzo ya ufundi,mawasiliano na ujuzi wa kibiashara.Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa mafunzo kutoka VETA Bi.Leah Lukindo,anaefuata ni makamu mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Prof. Tolly Mbwette.… ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-24myzrvG6TI/VNH4Bh8GoeI/AAAAAAAHBfs/VNU4M3pqiJw/s72-c/New%2BPicture.png)
WAFANYAKAZI WA OFISI YA MKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI WAKIELIMISHWA KUHUSIANA NA MIFUKO YA UWEKEZAJI WA PAMOJA(MUTUAL FUNDS) INAYOENDESHWA NA UTT AMIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-24myzrvG6TI/VNH4Bh8GoeI/AAAAAAAHBfs/VNU4M3pqiJw/s1600/New%2BPicture.png)
UTT AMIS ndiyo magwiji katika kuanzisha na kuendesha Mifuko ya Uwekezaji wa Pamoja (Mutual Funds) hapa nchini. Mpaka sasa UTT AMIS inaendesha mifuko mitano ambayo ni Mfuko wa Umoja, Mfuko wa Wekeza Maisha, Mfuko wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania