Barakoa za mitindo tofauti zatengezwa kwa wingi
ulimwengu wa fasheni umetengeza barakoa za kupendeza na za mitindo tofauti.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Mitindo tofauti ya kubana nywele
Urembo wa nywele, ni ule ambao unazingatiwa watu wa jinsi zote, lakini zaidi ni kwa wanawake. Jinsi hii, kwa kiasi kikubwa, wamekuwa wakitumia muda mwingi kutunza nywele.
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Neymar Jr na mitindo 30 tofauti ya nywele
Mashabiki wengi wa soka wanamfahamu Neymar Jr kuwa ni mwanasoka nyota wa Brazil na klabu yake, Barcelona ya Hispania.
5 years ago
MichuziUKOMO WA BEI YA BARAKOA HADHARANI, VIWANDA VYA NGUO NCHINI KUTENGENEZA BARAKOA ZAIDI
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amesema atachukua hatua kwa Taasisi zisizo za kiserikali (NGOs) zinazouza barakoa kwa gharama kubwa.
Bashungwa alitoa taadhari hiyo mkoani Arusha alipotembelea Viwanda vya kuzalisha nguo vya Sunflug na A to Z kuangalia hali ya uzalishaji wa barakoa katika Viwanda hivyo.
Bashungwa alitoa onyo kwa NGOs zilizoomba kibali cha kuzalisha barakoa kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania lakini badala yake wanauza barakoa kwa shillingi 2,500 hadi...
Bashungwa alitoa taadhari hiyo mkoani Arusha alipotembelea Viwanda vya kuzalisha nguo vya Sunflug na A to Z kuangalia hali ya uzalishaji wa barakoa katika Viwanda hivyo.
Bashungwa alitoa onyo kwa NGOs zilizoomba kibali cha kuzalisha barakoa kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania lakini badala yake wanauza barakoa kwa shillingi 2,500 hadi...
5 years ago
MichuziKIKUNDI CHA BARAKOA TZ CHAGAWA BARAKOA BURE ZAIDI YA 1000 MAENEO MBALIMBALI IKIWEMO VITUO VYA WATOTO YATIMA
Janga la ugonjwa wa virusi vya COVID-19 umeleta uhaba ya bidhaa nyingi humu nchini zikiwemo Barakoa. Rania Nasser ambaye ni mwanafunzi wa sekondari aliunda kikundi kinachojulikana kama Barakoa Tz cha kutengeneza na kugawa barakoa bure kwa wale wenye uhitaji. Nia yake kubwa ilikuwa ni kutengeneza barakoa nyingi na kuzigawa bure kwenye vituo vya polisi vilivyo karibu na nyumbani kwao bure kabisa.
Baada ya wiki moja, uhitaji wa barakoa uliongezeka maradufu na hivyo akaona umuhimu wake...
Baada ya wiki moja, uhitaji wa barakoa uliongezeka maradufu na hivyo akaona umuhimu wake...
9 years ago
Michuzi9 years ago
MichuziRC Makalla awashukuru wananchi kwa kujitokeza kwa wingi kufanya usafi
RC Makalla awashukuru wana Kilimanjaro kwa kujitokeza kwa wingi kufanya usafi, ataka kila Jumamosi ya mwanzo wa mwezi iwe maalum kwa usafi
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Mh Amos Makalla, amewapongeza wakazi na wananchi wake katika mkoa huo kwa kuunga mkono agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli la kufanya usafi na kutunza mazingira katika siku ya Uhuru, 9 Desemba iliyoadhimishwa jana nchini kote.
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Mh Amos...
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Mh Amos Makalla, amewapongeza wakazi na wananchi wake katika mkoa huo kwa kuunga mkono agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli la kufanya usafi na kutunza mazingira katika siku ya Uhuru, 9 Desemba iliyoadhimishwa jana nchini kote.
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Mh Amos...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kuzaliana kwa wingi huongeza vifo kwa wajawazito
Hivi karibuni dunia iliadhimisha Siku ya Utepe Mweupe na Uzazi Salama, ambayo iliambatana na kaulimbiu ya, ‘Wajibika Mama Aishi’.
11 years ago
MichuziAirtel yazindua huduma mpya ya mitindo kwa njia ya simu kwa kushirikiana na Mbunifu Mahiri Afrika Mustafa hassanali.
Mbunifu nguli wa mitindo Afrika, Mustafa Hassanali akizungumza na wageni waalikwa kuhusiana na huduma mpya ya kuwa karibu naye kwa mashabiki wa mitindo kupata taarifa zake kupitia simu zao za mkononi za Airtel kwa kupiga *148*82# na moja kwa moja utakuwa umeunganishwa na huduma hiyo na kutozwa shilingi 90 za kitanzania kwa siku.Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel inayotoa huduma nafuu na yenye wigo mpana zaidi wa mawasiliano, imeshirikiana na mbunifu wa mitindo Afrika ,Mustafa Hasanali...
5 years ago
MichuziFCS YATOA BARAKOA 5000 KWA CHAVITA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
KATIKA kuonesha ushiriki wa mapambano dhidi ya mlipuko wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid -19,) asasi ya kiraia ya Foundation for Civil Society (FCS) imeendelea kuonesha ushiriki huo kwa kutoa vifaa na ruzuku kwa makundi maalumu na watu wenye ulemavu ili kuendelea kuwaweka salama zaidi pamoja na kuzuia maambukizi zaidi.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati akikabidhi barakoa 5000 kwa Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Mkurugenzi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania