Barcelona yafungua msimu kwa ushindi
Messi alifunga mabao mawili na kuisaidia Barca kuinyuka Elche mabao 3-0 katika ligi ya Uhispania
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Barcelona waanza kwa ushindi
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Kadi 14, mabao 12 yafungua msimu
9 years ago
StarTV18 Aug
BARCELONA YA LIONEL MESSI YAPOTEZA KOMBE LA KWANZA MSIMU HUU….
![2B72BF8600000578-3201312-image-a-9_1439846291599](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/2B72BF8600000578-3201312-image-a-9_1439846291599.jpg)
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni …
Michuano ya klabu Bingwa Dunia imeendelea tena kwa mchezo wa fainali kupigwa katika uwanja wa Nissan, mchezo wa fainali ya klabu Bingwa Dunia umepigwa kwa kuzikutanisha timu mbili klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambaye ni muwakilishi wa bara la Ulaya katika michuano hiyo dhidi ya klabu ya River Plate kutoka bara la America. Huu […]
The post Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo31 Dec
FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video)
December 30 Ligi Kuu ya Hispania iliendelea kwa michezo 9 kupigwa katika viwanja mbalimbali, huu ni muendelezo wa mechi za Laliga ambapo ilikuwa imesimama kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christmas, hivyo December 30 iliendelea kama kawaida. Miongoni mwa michezo iliyochezwa December 30 ni mechi kati ya FC Barcelona dhidi ya Real Betis. Huu ni […]
The post FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video) appeared first on...
10 years ago
Michuzi17 Apr
KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA MSIMU NA KUFUNGUA MSIMU MPYA
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali
10 years ago
Habarileo12 Jun
Muhimbili yafungua kliniki kwa wagonjwa wa NHIF
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imefungua kliniki kwa wagonjwa wanaotumia Mfuko wa Taifa wa Bima ya AFya (NHIF) huku kliniki hiyo ikikabiliwa na matatizo ya mitambo ya Xray, CT scan na mashine za digitali za kupimia tumbo (floroskopian).