Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barcelona yaidhalilisha Bayern 3-0 UEFA

Lionel Messi na Neymar waliibuka shubiri kwa Bayern baada ya Barcelona kuchomoza na ushindi wa 3-0 nusu fainali ya UEFA

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Bayern yashinda,Barcelona hoi UEFA

Kitimtim cha klabu bingwa barani Ulaya kiliendelea usiku wa kuamkia leo huku zikishuhudiwa nyasi za viwanja kadhaa zikiwaka moto

 

11 years ago

KwanzaJamii

BAYERN MUNICH YASHINDA, BARCELONA YATANDIKWA UEFA

Kitimtim cha klabu bingwa barani Ulaya kiliendelea tena usiku wa kuamkia leo huku zikishuhudiwa nyasi za viwanja kadhaa zikiwaka moto kuruhusu wababe wa soka kutoka nchi mbalimbali wakizitafuta point tatu muhimu. Nchini Ufaransa wenyeji Paris St Germany (PSG), waliikaribisha timu ya Barcelona, hadi mwisho wa mchezo huo wenyeji PSG wakaibuka washindi kwa jumla ya mabao 3-2. Nchini Urusi wenyeji CSKA MOSCOW wameangukia pua baada ya kufungwa goli 1-0 na wababe wa soka wa Ujerumani Bayern...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Bayern kundi moja UEFA

Arsenal kwa mara ya tatu katika misimu minne, itavaana na Bayern Munich baada ya kupangwa kundi moja katika michuano ya klabu bingwa Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bayern Munich, PSG robo fainali UEFA

Timu ya Bayern Munich ya Ujerumani na Paris St. Germain ya Ufaransa zimesonga mbele katika hatua ya robo fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya.

 

10 years ago

BBC

Bayern Munich 3-2 Barcelona (agg 3-5)

Morocco's Mehdi Benatia scores for Bayern but cannot prevent Barcelona from reaching the Champions League final.

 

10 years ago

Vijimambo

BARCELONA YAITANDIKA BAYERN MUNICH 3-0

Mlinda mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer akijaribu bila mafanikio kuuzia mpira uliopigwa na mshambuliaji mahiri wa FC Barcelona, Lionel Messi uliokwenda moja kwa moja nyavuni huku mabeki wake wakiwa hawana la kufanya.Mshambuliaji wa FC Barcelona, Neymar akiifungia timu yake bao la tatu nala ushindi huku mlinda mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer akiwa hana ujanja. Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani wa Nou Camp, FC Barcelona wamewatandika wageni wao Bayern Munich jumla ya mabao 3-0...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni vita ya Barcelona na Bayern Munich

Kocha Pep Guardiola anarejea Nou Camp kuiongoza Bayern dhidi ya Timu yake ya zamani Barcelona kwenye Nusu Fainali ya Uefa champions ligi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kivumbi leo UEFA, Bayern,PSG kufa kupona

Mzunguko wa pili hatua ya robo fainali ligi ya mabingwa barani Ulaya kutimua vumbi Jumanne usiku

 

10 years ago

BBCSwahili

Bayern na Barcelona,watinga Nusu Fainali

Klabu za Bayern Myunik ya Ujerumani na Barcelona ya Hispania zimetinga nusu Fainali katika ligi ya Mabingwa barani Ulaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani