Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bayern yashinda,Barcelona hoi UEFA

Kitimtim cha klabu bingwa barani Ulaya kiliendelea usiku wa kuamkia leo huku zikishuhudiwa nyasi za viwanja kadhaa zikiwaka moto

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

KwanzaJamii

BAYERN MUNICH YASHINDA, BARCELONA YATANDIKWA UEFA

Kitimtim cha klabu bingwa barani Ulaya kiliendelea tena usiku wa kuamkia leo huku zikishuhudiwa nyasi za viwanja kadhaa zikiwaka moto kuruhusu wababe wa soka kutoka nchi mbalimbali wakizitafuta point tatu muhimu. Nchini Ufaransa wenyeji Paris St Germany (PSG), waliikaribisha timu ya Barcelona, hadi mwisho wa mchezo huo wenyeji PSG wakaibuka washindi kwa jumla ya mabao 3-2. Nchini Urusi wenyeji CSKA MOSCOW wameangukia pua baada ya kufungwa goli 1-0 na wababe wa soka wa Ujerumani Bayern...

 

10 years ago

StarTV

Bayern yashinda,Barcelona yafungwa na PSG.

Kitimtim cha klabu bingwa barani Ulaya kiliendelea tena usiku wa kuamkia leo huku zikishuhudiwa nyasi za viwanja kadhaa zikiwaka moto kuruhusu wababe wa soka kutoka nchi mbalimbali wakizitafuta point tatu muhimu.

 
Nchini Ufaransa wenyeji Paris St Germany (PSG), waliikaribisha timu ya Barcelona, hadi mwisho wa mchezo huo wenyeji PSG wakaibuka washindi kwa jumla ya mabao 3-2.

 
Nchini Urusi wenyeji CSKA MOSCOW wameangukia pua baada ya kufungwa goli 1-0 na wababe wa soka wa Ujerumani Bayern...

 

10 years ago

BBCSwahili

Barcelona yaidhalilisha Bayern 3-0 UEFA

Lionel Messi na Neymar waliibuka shubiri kwa Bayern baada ya Barcelona kuchomoza na ushindi wa 3-0 nusu fainali ya UEFA

 

11 years ago

GPL

ARSENAL HOI KWA BAYERN

Wojciech Szczesny akijaribu kumzuia Arjen Robben bila mafanikio. Kipa wa Arsenal, Wojciech Szczesny…

 

9 years ago

BBCSwahili

Ujerumani yashinda, Ugiriki hoi

Timu ya taifa ya Ujerumani imepanda hadi kileleni mwa msimamo wa kundi D katika michuano ya kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya barani Ulaya mwaka 2016 baada ya kuichabanga Poland magoli 3 - 1.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Bayern kundi moja UEFA

Arsenal kwa mara ya tatu katika misimu minne, itavaana na Bayern Munich baada ya kupangwa kundi moja katika michuano ya klabu bingwa Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bayern Munich, PSG robo fainali UEFA

Timu ya Bayern Munich ya Ujerumani na Paris St. Germain ya Ufaransa zimesonga mbele katika hatua ya robo fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yaua, Liverpool hoi UEFA

Arsenal usiku wa kuamkia Alhamis ilishinda mabao 4 - 1 dhidi ya Galatasaray huku Liverpool ikifungwa goli 1- 0 na FC Basel.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal hoi dhidi ya Monaco UEFA

Matumaini ya Arsenal kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano Klabu Bingwa Ulaya imeingia nyongo baada ya kubali kipigo kutoka kwa Monaco ya Ufaransa cha 3 - 1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani