Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baridi yagandisha breki za ndege Siberia

Abiria wa shirika ka ndege la Siberia walazimika kuisukuma ndege hiyo baada ya breki zake kuganda na kushindwa kuondoka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

News Landed

46,000-year-old Ice Age-era bird found in Siberia

46,000-year-old Ice Age-era bird found in Siberia  News LandedView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

WEMA JIFUNZE KUWEKA BREKI MDOMONI

Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ SALAMU nyingi zikufikie mrembo usiyechuja umaarufu tangu mwaka 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ vipi uko poa? Mishemishe zinakwendaje? Ukitaka kujua afya yangu, mimi namshukuru Mungu kwani ni mzima, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Kitambo kidogo kimepita sijakuona lakini naamini u-mzima wa afya.… ...

 

10 years ago

Michuzi

LORI LAFELI BREKI NA KWENDA KUPARAMIA PRADO

Lori la Mizigo lenye namba za usajili T 255 CRN na lililokuwa na Tela lenye namba za usajili T 478 BCG likiwa limefunga njia baada ya kufeli breki lilipo kuwa kwenye njia kubwa katika eneo la Mbezi Mwisho, Jijini Dar es salaam. Kwa mujibu wa Dereva wa Lori hilo aliejitambulisha kwa jina moja la Bw. Sendegwa, alisema kuwa alianza safari yake ya kutoka Mkoani Singida akiwa vizuri kabisa na alipofika maendeo ya Kibamba alihisi gari yake kupoteza upepo lakini kwa wakati huo alikuwa kwenye mwendo...

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka, akiteta jambo na Balozi wa Nchi za Falme za Kiarabu(United Arab Emirate) nchini Tanzania, Balozi Abdullah Ibrahim Al Suwaidi, kabla ya Uzinduzi wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana. Magari ya Zimamoto yakimwaga maji kuashiria uzinduzi na ukaribisho wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere...

 

11 years ago

BBCSwahili

Jifahamishe Olimpiki majira ya baridi

Zaidi ya wanajeshi alfu 40 wametumwa kushika doria wakati wa michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi mjini Sochi Urusi.

 

10 years ago

Vijimambo

MSIMU WA BARIDI WAANZA KIWANJA

 Wadau mbalimbali waliofika nje ya  City Place Mall Silver Spring, Maryland pembezoni mwa barabara ya Fenton wakifanya utelezi kwenye barafu ( Ice Skating ) kwenye msimu huu wa baridi ambao watabiri wa hali ya hewa wamesema mwaka huu baridi itakua kali sana humo ndni utawakuta wadau mbalimbali wengine wakijufunza utelezi huo kwenye barafu huku wakipata usaidizi wa wenzao. Watoto nao wakijifunza utelezi kwenye barafu huku akijishikiza kwenye kingo za uwanja huo. Wadau mbalimba waliofika...

 

10 years ago

Mwananchi

Madaktari: Baridi itawajenga Simba

Simba ipo Lushoto Tanga ilikopiga kambi wakati Azam ikitarajia kuweka kambi jijini humo kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Bara na Kombe la Kagame.

 

11 years ago

BBCSwahili

Baridi kali yatokota Marekani

Msimu wenye maridi kali kuwahi kushuhudiwa nchini Marekani katika miaka 20 iliyopita, unaelekea kupiga maeneo ya Kusini na Mashariki mwa nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani