Barnaba kumrudisha tena Naj kwenye game?
Barnaba ni mtu busy pengine kuliko wasanii wote kwa sasa. Muimbaji huyo licha ya kuanzisha studio yake, High Table Sound, ameanzisha lebo na bendi yake pia huku akiendelea kufanya kazi aipendayo zaidi – kuandika nyimbo. Miongoni mwa wasanii wanaotarajiwa kunufaika na kipaji chake ni muimbaji Naj ambaye miaka ya hivi karibuni alipotea. Wawili hao wameingia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Sep
Madee kumrudisha shule tena Dogo Janja? Jibu hili hapa
10 years ago
GPLSHISHI BABY BARNABA MAHABA TENA?
9 years ago
GPLBARNABA AZUSHIWA KUJIINGIZA KWENYE INJILI
10 years ago
Bongo Movies05 Jan
Jb Aamua Kujipoteza Kidogo Kwenye 'Game'
Mwigizaji na mwongozaji mkongwe wa filamu nchini, Jacob Steven ‘JB’ ameamua kujipoteza kwa makusudi katika uigizaji akiwa na lengo la kuweka mbele kazi zinazofanywa na kampuni yake ya uzalishaji sinema ya Jerusalemu.
Akizungumzia kazi za mwaka uliopita, JB alisema mwaka 2014 filamu zake tatu za Bado Natafuta, Wageni Wangu na Chausiku zilifanya vizuri sokoni.
“Kwa asilimia 80 mwaka 2014 kwangu umekuwa mzuri kikazi, nimefanya kazi nzuri bila mimi kuonekana kwa sababu nataka Jerusalemu ianze...
11 years ago
CloudsFM08 Jul
KASSIM MGANGA ARUDI UPYA KWENYE GAME
STAA wa Bongo Fleva,Kassim Mganga amerudi tena na Solo Project baada ya kuwa kimya kwa mwaka mmoja, tangu alipotoa ngoma yake ya I Love You baadae akaelezea sababu za kutokutoa video yake then hatukusikia track yoyote kutoka kwake.
9 years ago
Bongo527 Oct
Barnaba aanzisha bendi yake ‘Barnaba Classic’