Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BARNABA AZUSHIWA KUJIINGIZA KWENYE INJILI

Staa  wa muziki wa Bongo Fleva kutoka Jumba la Vipaji (THT), Barnabas Elius a.k.a Barnaba. Boniphace Ngumije STAA wa muziki wa Bongo Fleva kutoka Jumba la Vipaji (THT), Barnabas Elius a.k.a Barnaba hivi karibuni alizushiwa na baadhi ya watu wakiwemo marafiki zake wa karibu kuwa amejiingiza kwenye uimbaji wa nyimbo za Injili jambo ambalo amelikanusha vikali. Akichonga na Centre Spread, Barnaba alisema taarifa hizo za...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Najuta kujiingiza kwenye matumizi ya bangi — Mr Blue

Rapper Mr Blue amesema kuingia kwenye uvutaji wa bangi kulimsabisha aache shule na kutaka kukaa kijiweni zaidi. Mr Blue aliliambia gazeti la Mwananchi kuwa, kuna vitu vingi ameshindwa kufanya kotokana na kuwa mtumwa wa bangi. “Najuta kujiingiza kwenye matumizi ya bangi,” anasema. “Siwezi kusema ni madawa ya kulevya kama inavyojulikana kwa unga na cocaine. Sijawahi […]

 

9 years ago

Mtanzania

Irene Uwoya awataka wasanii kujiingiza kwenye biashara

ireneeeNA THERESIA GASPER

MKALI wa filamu nchini, Irene Uwoya, amewataka wasanii wenzake hasa wanawake kujituma katika kazi nyingine kama vile biashara ili kuweza kujikomboa kimaisha.

Irene amesema wasanii wengi wanategemea sanaa ili kuweza kuendesha maisha yao, lakini wanatakiwa kufanya mambo mengi ili kuweza kujiingizia kipato.

Akizungumza na MTANZANIA jana alisema yeye ana ofisi ambayo inajishughulisha na ushonaji wa nguo za aina zote ambayo inamsaidia kuingiza kipato na huwa anashona.

“Natumia...

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba kumrudisha tena Naj kwenye game?

Barnaba ni mtu busy pengine kuliko wasanii wote kwa sasa. Muimbaji huyo licha ya kuanzisha studio yake, High Table Sound, ameanzisha lebo na bendi yake pia huku akiendelea kufanya kazi aipendayo zaidi – kuandika nyimbo. Miongoni mwa wasanii wanaotarajiwa kunufaika na kipaji chake ni muimbaji Naj ambaye miaka ya hivi karibuni alipotea. Wawili hao wameingia […]

 

11 years ago

Michuzi

MUZIKI UPO KWENYE FAMILIA YETU-MWANAMUZIKI WA INJILI MILKA KAKETE

309253_4514172497095_415944777_nMwanamuziki wa Injili aliyetokea kwenye familia ya kidini Milka Kakete anasema alianza kuujua na kuufahamu muziki kwa kina tangu akiwa mdogo, kwani familia yake ni ya kikristo na amepata malezi ya kuwa karibu na kanisa siku zote. Milka ambaye ni mkazi wa Canada na familia yake akiwa ni mama wa watoto watatu na familia yake anaeleza kuwa anaipenda sana familia yake na anajaribu kuweka sawa maisha ya familia na uimbaji wa Injili. Hivi karibuni alitembelea idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya...

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba aanzisha bendi yake ‘Barnaba Classic’

Barnaba ameanzisha bendi yake mwenyewe. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa bendi yake ilikuwepo lakini sasa itakuwa na vifaa vya kisasa. “Nina bendi toka muda mrefu ila sasa hivi ndo naifanya official. Naanza kunua vifaa vyangu vya muziki au kama akitokea mtu akaninunulia sio mbaya pi,” amesema. “Bendi itakuwa ni bendi tofauti zingine zote unazozijua. Mimi […]

 

9 years ago

Bongo5

Avril kurekodi wimbo na Christina Shusho? akanusha kuingia kwenye muziki wa injili

Muimbaji mrembo wa nchini Kenya, Avril huenda akarekodi wimbo na muimbaji wa nyimbo za injili, Christina Shusho siku za usoni. Hata hivyo amedai kuwa kurekodi wimbo na msanii huyo wa Tanzania hakumaanishi kuwa anaingia kwenye muziki wa injili. Avril alikutana na Christina Shusho wiki iliyopita kwenye hafla ya Catholic University Dreamz Come True Initiative jijini […]

 

11 years ago

Michuzi

MUIMBAJI WA INJILI BAHATI BUKUKU APATA AJALI DODOMA AKIELEKEA KAHAMA KWENYE TAMASHA
















Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Bahati Bukuku akiwa kwenye moja ya kazi zake ya uimbaji.
Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.

Gari lenye namba IT 7945 aina ya Toyota Nadia ikiendeshwa na EDSON S/O MWAKABUNGU, Mnyakyusa, Miaka 31 mkazi wa Tabata – Dar es Salaam liliacha njia na kugonga gema na kusababisha majeruhi kwa watu watatu baada ya kugongwa na gari lingine linalosadikiwa kuwa ni Fuso.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP...

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba ana majibu ya kwanini hapati tuzo licha ya kuwa mchango wake kwenye muziki unafahamika

Msanii Barnaba anafahamika sio tu kwa uwezo wake mkubwa wa kuimba live na kupiga vyombo, bali hata uandishi wa nyimbo. Ameshawaandikia hits wasanii wengi wakubwa. Lakini pamoja na hayo yote bado hajabahatika kushinda tuzo, na yeye binafsi ana majibu ya kwanini anadhani hajapata tuzo. “Kila kitu kina wakati,wataelewa tu uzuri mashabiki wenyewe wanaelewa nani mtunzi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani