BASATA lawachimba mkwara wasanii, redio TV na tovuti kuhusiana na nyimbo zenye matusi
Hii ni taarifa ya Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA iliyotolewa Jumatano hii: Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linawaagiza wasanii, wamiliki na waendeshaji wa wavuti, tovuti na vyombo vya habari hususan radio na runinga kuondoa na kuacha mara moja kurusha au kutangaza au kucheza nyimbo zote zenye maudhui ya kashfa, matusi, kejeli, udhalilishaji ambazo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4MO6HFj7LMc/VgJd29lQD_I/AAAAAAAAuX0/aVwEFi53Bfc/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA LATAKA KUONDOLEWA/KUSITISHWA MARA MOJA KUCHEZWA KWA NYIMBO ZOTE ZENYE KUKENGEUKA MAADILI, SHERIA NA TARATIBU
![](http://4.bp.blogspot.com/-4MO6HFj7LMc/VgJd29lQD_I/AAAAAAAAuX0/aVwEFi53Bfc/s320/New%2BPicture.png)
9 years ago
Bongo509 Dec
Tutawalipa wasanii kwa kucheza nyimbo zao redio na kwenye TV – Ruge
![Ruge](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ruge-300x194.jpg)
Mmoja kati ya wadau wakubwa wa muziki hapa nchini na Mkurugenzi wa Uzalishaji na vipindi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amesema ujio wa kampuni ya kusimamia hakimiliki za kazi za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) wakishirikiana na Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA), utasaidia vituo vya redio na runinga kushindwa kukwepa kulipa mirahaba inayotokana na upigwaji wa nyimbo za wasanii.
Akizungumza na CMEA hivi karibuni, Ruge alisema mfumo huo mpya utawasaidia...
10 years ago
Bongo510 Mar
Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili
9 years ago
Bongo501 Oct
BASATA yaeleza changamoto ya kuhakiki nyimbo
9 years ago
Bongo530 Sep
BASATA ianze kukagua nyimbo kabla hazijatoka — Roma
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/basata-mpya.jpg)
BASATA YATOA TAMKO KUHUSU NYIMBO ZISIZOZINGATIA MAADILI
10 years ago
Bongo510 Oct
Kituo cha redio chafukuza wafanyakazi wote 47 na kuamua kucheza nyimbo za Beyonce 24/7
10 years ago
Bongo514 Nov
Geez Mabovu ameacha deni kwa vituo vya redio, kucheza nyimbo zake sasa hazililipi
11 years ago
Michuzibasata yawashauri wasanii