BASATA wampongeza Mayunga kwa kuwakilisha vyema Tanzania
Mkurugenzi Ukuzaji Sanaa na Masoko Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Vivian Msao Shalua (Katikati) akiongea katika halfa ya kumpongeza mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Airtel Trace Music Stars Afrika kwa kuibuka mshindi wa mashindano hayo na kuiwakilisha vyema Tanzania . halfa hiyo ilifanyika katika ofisi za BASATA Ilala Dar es Saalam. kushoto ni meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando.
Mkurugenzi Ukuzaji Sanaa na Masoko Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Vivian Msao Shalua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBASATA WAMPONGEZA MAYUNGA KWA KUWAKILISHA VYEMA TANZANIA
10 years ago
GPLBASATA WAMPONGEZA MAYUNGA KWA KUWAKILISHA VYEMA TANZANIA
10 years ago
GPLBASATA YAMKABIDHI BENDERA MSHINDI WA AIRTEL TRACE MUSIC KWA AJILI YI KUWAKILISHA NCHI KATIKA MASHINDANO YA AFRIKA NCHINI KENYA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ywXdLN72sPs/Vht0X1CH6rI/AAAAAAAH_IE/dl737s0_-ck/s72-c/DiamondBasketmout.jpg)
DIAMOND,VANNESA NA OMMY DIMPOZ WALIVYOIPEPERUSHA VYEMA BENDERA YA TANZANIA UGHAIBUNI, BASATA LAWAPONGEZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ywXdLN72sPs/Vht0X1CH6rI/AAAAAAAH_IE/dl737s0_-ck/s640/DiamondBasketmout.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hNrjSmNSbW8/Vht1M5gVESI/AAAAAAAH_Ic/PWg3099H_Jg/s640/ommy%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2BDwS68G-hE/Vht2T6M3NDI/AAAAAAAH_JQ/aWPwK5KOTXE/s640/TUZO.jpg)
Inaweza ikawa siyo mara ya kwanza kwa msanii Diamond Platnumz kuchukua tuzo mbalimbali za kimataifa lakini kwa Vanessa Mdee inaweza ikawa moja kati ya historia nzuri kwake huku Ommy Dimpoz akiwa na kila sababu ya kufurahia tuzo yake ya kwanza ya kimataifa baada ya kujinyakulia tuzo maarufu za Afrimma.
Wasanii hao walijinyakulia tuzo hizo usiku...
11 years ago
MichuziRT WAMPONGEZA WAZIRI MEMBE KWA KUUNGA MKONO KUENDELEZA RIADHA TANZANIA
Na John Nditi, Morogoro
RAIS wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Anthony Mtaka amemshukuru Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kwa kuanzisha diplomasia ya michezo na nchi za nje pamoja na kufadhili maandalizi ya wanariadha 40 na makocha sita.
Wanamichezo na makocha hao wanapelekwa nje kwa ajili ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TSQg3YdbcSM/Vh4QKMwpkHI/AAAAAAAEA-k/HDbsgNCuoSM/s72-c/FullSizeRender%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
MARAIS WA MAHAKAMA ZA KIMATAIFA ZA MAUAJI YA KIMBARI WAMPONGEZA JK, TANZANIA KWA USHIRIKIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-TSQg3YdbcSM/Vh4QKMwpkHI/AAAAAAAEA-k/HDbsgNCuoSM/s640/FullSizeRender%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WEBRB8EmPH8/Vh4QNmd--bI/AAAAAAAEA-s/MmEUJlaqFr8/s640/MEROE.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8xWXgexOWAc/VTujhrWgaxI/AAAAAAAHTOc/WJDt25q5tTM/s72-c/Untitled%2C.png)
KUSIMAMISHWA KWA SHINDANO LA UREMBO LA MISS TANZANIA KWA MISIMU MIWILI KUKO PALEPALE - BASATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-8xWXgexOWAc/VTujhrWgaxI/AAAAAAAHTOc/WJDt25q5tTM/s1600/Untitled%2C.png)
Taarifa hizo za kufunguliwa shindano hilo zilienda mbali kwa kueleza kwamba mawakala wametumiwa kalenda ya mashindano...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-8xWXgexOWAc/VTujhrWgaxI/AAAAAAAHTOc/WJDt25q5tTM/s72-c/Untitled%2C.png)
BASATA - KUSIMAMISHWA KWA SHINDANO LA UREMBO LA MISS TANZANIA KWA MISIMU MIWILI KUKO PALEPALE
![](http://2.bp.blogspot.com/-8xWXgexOWAc/VTujhrWgaxI/AAAAAAAHTOc/WJDt25q5tTM/s1600/Untitled%2C.png)
Taarifa hizo za kufunguliwa shindano hilo zilienda mbali kwa kueleza kwamba mawakala wametumiwa kalenda ya mashindano...
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
Tigo yadhamini Mabaharia watoto 10 kuwakilisha Tanzania Mashindano ya Mitumbwi Afrika
Meneja wa mawasiliano wa Tigo Bw. John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo safari ya timu ya Taifa ya watoto waendesha mitumbwi inayoelekea nchini Morocco kushiriki mashindanoya wakimbiza mitumbwi mwezi ujao.
Na Mwandishi wetu
Tigo Tanzania imetangaza udhamini wake kwa timu ya taifa ya watoto wadogo waendesha mitumbwi, timu ambayo inaundwa na mabaharia watoto 10 waliochaguliwa na shirikisho la mitumbwi midogo ya watoto...