Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bashir ataka UN-AU waondoke Darfur

Rais wa Sudan awaambia waandishi wa habari vikosi vya amani vijitayarishe kuondoka Darfur

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Warioba ataka wazee waondoke madarakani

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashauri viongozi wazee na waliokaa madarakani muda mrefu kuacha kung’ang’ania madaraka.

 

9 years ago

Habarileo

‘Waliovamia njia za DART waondoke’

WAFANYABIASHARA na watu wengine wanaotumia njia za mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) kwa shughuli zao wameamriwa kuondoka mara moja kwenye maeneo hayo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wabelgiji watakiwa waondoke Burundi

Chama tawala nchini Burundi kimewataka raia wote wa Ubelgiji waondoke nchini humo.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wasioridhika na posho ya 300,000/- waondoke - Mwigulu

Mwigulu NchembaNAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotaka nyongeza ya posho, kujiondoa katika bunge hilo kama hawaridhiki nayo.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yaamuru waliovamia shamba la Sumaye waondoke

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki amewataka waliovamia na kujigawia maeneo ya watu wengine likiwamo la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Ritha Mlaki waondoke mara moja kwa kuwa wamevunja sheria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yashauri raia wake waondoke Burundi

Ubelgiji imewashauri raia wake kuondoka Burundi, huku Muungano wa Ulaya nao ukipunguza maafisa wake wanaohudumu huko.

 

5 years ago

CCM Blog

WANAOISHI MABONDENI MUHORO NA CHUMBI WAONDOKE KUJINUSURU NA MAAFA YA MVUA-RC NDIKILO


 *******************************NA MWAMVUA MWINYI,RUFIJIMWENYEKITI wa kamati ya ulinzi na usalama mkoani Pwani, mhandisi Evarist Ndikilo ameagiza, wakazi wanaoishi maeneo ya mabondeni ambayo yana athari kubwa kwa mvua ,huko Muhoro na Chumbi ,wilayani Rufiji kuhamia maeneo ya yaliyo salama kwako ili kujiepusha na maafa na madhara makubwa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
Amesema ,hadi sasa maafa tayari ni makubwa na takwimu zilizofika mkoani hadi sasa ni takriban hekta 6,600 za mashamba...

 

10 years ago

African Union Mission Peacekeepers Attacked In Spate Of Violence

Darfur: UN


UN News Centre
Darfur: UN-African Union mission peacekeepers attacked in spate of violence
UN News Centre
UNAMID troops from Tanzania, deployed in Khor Abeche, South Darfur, conduct a routine patrol in Karbab village. Photo: UNAMID/Albert González Farran ? Print. 6 January 2015 – The Joint United Nations and African Union Mission in Darfur has reported ...
Gunman attack Darfur peacekeepersdunyanews.tv (press release) (blog)

all 2

 

11 years ago

BBC

In pictures: Darfur refugees then and now

Then and now photos show Darfur refugees putting down roots

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani