‘Waliovamia njia za DART waondoke’
WAFANYABIASHARA na watu wengine wanaotumia njia za mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) kwa shughuli zao wameamriwa kuondoka mara moja kwenye maeneo hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Serikali yaamuru waliovamia shamba la Sumaye waondoke
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
Bashir ataka UN-AU waondoke Darfur
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Wabelgiji watakiwa waondoke Burundi
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Warioba ataka wazee waondoke madarakani
11 years ago
Habarileo01 Mar
‘Wasioridhika na posho ya 300,000/- waondoke - Mwigulu
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotaka nyongeza ya posho, kujiondoa katika bunge hilo kama hawaridhiki nayo.
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Ubelgiji yashauri raia wake waondoke Burundi
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Waliovamia maeneo kufanyiwa tathmini
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Waliovamia vituo vya BRT waonywa
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amewataka watu wanaoishi mabondeni, waliokimbia mafuriko na kuvamia vituo vya mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT), kama sehemu ya makazi...
10 years ago
Mtanzania17 Feb
Polisi: Waliovamia Amboni, Tanga ni wahuni
Na Amina Omari na Oscar Assenga, TANGA
KAIMU Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki, amesema watu waliopambana na askari polisi na wale wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ni kikundi cha wahuni.
Harakati za mapambano baina ya polisi na wahalifu hao zilidumu kwa takribani saa 48, huku Mkuu wa Mkoa huo, Said Magalula akikiri kwamba wameshindwa kuwakamata watu hao.
Jana Ndaki aliwaambia waandishi wa habari kuwa, jeshi hilo linawashikilia watu kadhaa kutokana na tukio la majambazi kushambiliana na...