Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Waliovamia njia za DART waondoke’

WAFANYABIASHARA na watu wengine wanaotumia njia za mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) kwa shughuli zao wameamriwa kuondoka mara moja kwenye maeneo hayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Serikali yaamuru waliovamia shamba la Sumaye waondoke

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki amewataka waliovamia na kujigawia maeneo ya watu wengine likiwamo la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Ritha Mlaki waondoke mara moja kwa kuwa wamevunja sheria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bashir ataka UN-AU waondoke Darfur

Rais wa Sudan awaambia waandishi wa habari vikosi vya amani vijitayarishe kuondoka Darfur

 

9 years ago

BBCSwahili

Wabelgiji watakiwa waondoke Burundi

Chama tawala nchini Burundi kimewataka raia wote wa Ubelgiji waondoke nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba ataka wazee waondoke madarakani

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashauri viongozi wazee na waliokaa madarakani muda mrefu kuacha kung’ang’ania madaraka.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wasioridhika na posho ya 300,000/- waondoke - Mwigulu

Mwigulu NchembaNAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotaka nyongeza ya posho, kujiondoa katika bunge hilo kama hawaridhiki nayo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yashauri raia wake waondoke Burundi

Ubelgiji imewashauri raia wake kuondoka Burundi, huku Muungano wa Ulaya nao ukipunguza maafisa wake wanaohudumu huko.

 

10 years ago

Mwananchi

Waliovamia maeneo kufanyiwa tathmini

Katika kupambana na janga la mafuriko ya mvua yanayolikumba Jiji la Dar es Salaam mara kwa mara, Mkuu wa Mkoa huo, Saidi Meck Sadiki ameziagiza halmashauri za jiji hilo kuorodhesha watu waliovamia maeneo ya mikondo ya maji ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waliovamia vituo vya BRT waonywa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amewataka watu wanaoishi mabondeni, waliokimbia mafuriko na kuvamia vituo vya mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT), kama sehemu ya makazi...

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi: Waliovamia Amboni, Tanga ni wahuni

Na Amina Omari na Oscar Assenga, TANGA
KAIMU Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki, amesema watu waliopambana na askari polisi na wale wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ni kikundi cha wahuni.
Harakati za mapambano baina ya polisi na wahalifu hao zilidumu kwa takribani saa 48, huku Mkuu wa Mkoa huo, Said Magalula akikiri kwamba wameshindwa kuwakamata watu hao.
Jana Ndaki aliwaambia waandishi wa habari kuwa, jeshi hilo linawashikilia watu kadhaa kutokana na tukio la majambazi kushambiliana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani