Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba ataka wazee waondoke madarakani

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashauri viongozi wazee na waliokaa madarakani muda mrefu kuacha kung’ang’ania madaraka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Bashir ataka UN-AU waondoke Darfur

Rais wa Sudan awaambia waandishi wa habari vikosi vya amani vijitayarishe kuondoka Darfur

 

10 years ago

Mwananchi

Mkapa ataka wazee nchini wasibezwe

Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa, amewataka viongozi na Watanzania kutobeza busara na hekima za wazee kwa kuwa bado wana mchango mkubwa kwa Taifa.

 

10 years ago

Habarileo

Maalim ataka wazee kuombea amani uchaguzi mkuu

MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wazee wa jimbo la Mtambwe Daya Pemba kuliombea dua taifa wakati likielekea katika uchaguzi mkuu ili kuwepo na amani na utulivu wa kutosha.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba aunguruma Mwanza, ataka majibu ya hoja zake

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba amesema licha ya kushambuliwa kwa mambo ya msingi anayozungumza kuhusu Katiba Mpya hakuna mtu aliyejitokeza kumjibu hoja zake, zaidi kumpiga vita.

 

11 years ago

Mwananchi

Kingunge ataka wanaomshambulia Warioba Bunge la #Katiba sasa ‘waufyate’ [VIDEO]

Mzee Ngombale-Mwiru amewatahadharisha wajumbe wasivuke mipaka, akiwaeleza hawakwenda Dodoma kuipiga vijembe timu ya Warioba.

 

9 years ago

Habarileo

‘Waliovamia njia za DART waondoke’

WAFANYABIASHARA na watu wengine wanaotumia njia za mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) kwa shughuli zao wameamriwa kuondoka mara moja kwenye maeneo hayo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wabelgiji watakiwa waondoke Burundi

Chama tawala nchini Burundi kimewataka raia wote wa Ubelgiji waondoke nchini humo.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wasioridhika na posho ya 300,000/- waondoke - Mwigulu

Mwigulu NchembaNAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotaka nyongeza ya posho, kujiondoa katika bunge hilo kama hawaridhiki nayo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yashauri raia wake waondoke Burundi

Ubelgiji imewashauri raia wake kuondoka Burundi, huku Muungano wa Ulaya nao ukipunguza maafisa wake wanaohudumu huko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani