Mkapa ataka wazee nchini wasibezwe
Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa, amewataka viongozi na Watanzania kutobeza busara na hekima za wazee kwa kuwa bado wana mchango mkubwa kwa Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo13 Oct
Mkapa ataka mabadiliko UN
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametoa wito wa kufanyika kwa mabadiliko katika mfumo wa uendeshaji wa Umoja wa Mataifa ili kukidhi mahitaji ya sasa ya dunia.
Mkapa alisema hayo jana katika mdahalo kwenye juma la Umoja wa Mataifa ambalo linamalizika leo, katika maadhimisho ya miaka 70 tangu kuundwa kwa umoja huo. Mdahalo huo umefanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jana.
Mkapa ambaye alichukua muda wake mwingi kuelezea na kuangalia maslahi ya Umoja wa Mataifa...
9 years ago
Dewji Blog13 Oct
Mkapa ataka mfumo wa UN ubadilishwe
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez akipozi na bango la picha lenye rangi mbalimbali zinazowakilisha malengo ya dunia 17 kwa Maendeleo Endelevu wakati wa mdahalo kwenye juma la Umoja wa Mataifa ambalo linamalizika leo katika maadhimisho ya miaka 70 tangu kuundwa kwa umoja huo. Mdahalo huo umefanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jana.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Mwandishi...
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Warioba ataka wazee waondoke madarakani
10 years ago
Habarileo10 Jul
Maalim ataka wazee kuombea amani uchaguzi mkuu
MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wazee wa jimbo la Mtambwe Daya Pemba kuliombea dua taifa wakati likielekea katika uchaguzi mkuu ili kuwepo na amani na utulivu wa kutosha.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Mkapa atetea masilahi ya walimu nchini
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Mauaji ya wazee yazidi nchini
LICHA kuwepo jitihada za serikali kupambana na mauaji ya vikongwe nchini kipindi cha mwaka 2012, lakini zaidi ya 600 waliuawa kutokana na imani za kishirikina. Hayo yalibainishwa jana na Mratibu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWfzptwq7rgEgMNdHTNxmdKzB8SG-k322AJ3LRKAygTCf9*1Val8*ZJpAAKIOxpjY0o1ytPAxB605--nawNpeJu/image.jpg?width=650)
MKAPA AWATAKA WAKANDARASI NCHINI KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI
10 years ago
Habarileo26 May
JK akerwa vijana nchini kutumika na wazee
TABIA ya vijana wa sasa ya kuchukua fedha kutoka kwa wazee na kuwagawia vijana wenzao ili kurahisisha mambo kwa wazee hao, imeonesha kumkera Rais Jakaya Kikwete.
10 years ago
Michuzi23 Aug
MH. PINDA AKUTANA NA MZEE MKAPA NA MAMA ANNA MKAPA JIJINI MWANZA
![PG4A2748](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/DPF5wRQ8hZJkbNwgo5RV5x162SMVaIqQH6iZ3iwcSyhi2cTfwhAO9RSjy0G2_FKQXVjU8PQYNTyHxtpr1Kn7_dlx0O_01m2Kj8mFqLfeqKz_idL8zmsojQU6AQw=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/PG4A2748.jpg)
![PG4A2753](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/3Ay8koHw5HAN2Sh7mZyZQharKSrMHWV-GAP-oeX7mx2F2eCduWxyIjQjAJvE5ZS_1KosnqVMP8nsUcFqxcbEaQyogesPAfsWW9h3cvDKaqWB-PmPjZqRuAeRJZI=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/PG4A2753.jpg)