Beckenbauer:Sikutarajia Qatar kushinda
Franz Backenbauer amebaini kwamba alishangazwa na hatua ya Qatar kushinda maandalizi ya kombe la dunia mwaka 2022.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Maria Sarungi: Sikutarajia kuzomewa bungeni
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw. Otty Msuku ambaye ni Mtanzania , Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...
10 years ago
BBCSwahili21 May
Qatar 2022: Qatar yapinga madai ya Amnesty
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
FIFA imemuondolea marufuku Beckenbauer.
11 years ago
BBCBeckenbauer backs Libya as 2017 hosts
9 years ago
StarTV23 Oct
Kamati ya maadili fifa Kuwachunguza Beckenbauer na Angel Villar.
Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA imetoa orodha nyingine ya kuwachunguza vigogo wengine wawili akiwemo gwiji na nahodha wa zamani wa Ujerumani Franz Beckenbar na makamu wa rais FIFA na Uefa Angel Maria Via kwa tuhuma za rushwa. Kamati hiyo ya maadili itaamua kama itamchukulia hatua Beckenbar mwenye miaka 70 na watu wengine 22 waliohusika kupiga kura katika mchakato wa uenyeji wa fainali mbili za kombe la dunia 2018 nchini Urussi na Qatar 2022. Beckenbar tayari alikwisha...
10 years ago
Day Tour22 Dec
Pinda in Qatar for three
IPPmedia
Pinda in Qatar for three-day tour
IPPmedia
Prime Minister Mizengo Pinda yesterday began a three-day tour of Doha, Qatar, according to a press statement from his office. It said the tour follows an invitation from the Qatar government, and while in Doha, the PM will look into ways of strengthening ...
Qatar job market open for TanzaniaDaily News
all 4
9 years ago
Raia Mwema03 Nov
Sishangai Magufuli kushinda
NIANZE makala hii kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuiwezesha Tanzania yetu kufika salama siku y
Evarist Chahali
9 years ago
Habarileo30 Aug
Mabondia watamba kushinda
KUNDI la kwanza la timu ya Tanzania itakayoshiriki Michezo ya 11 ya Mataifa ya Afrika linaondoka leo kwenda Brazzaville, Congo huku timu ya ngumi ikitamba kufanya vizuri katika michezo hiyo.