Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maria Sarungi: Sikutarajia kuzomewa bungeni

Maria Sarungi ni mwanaharakati na mmoja wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye amejizolea umaarufu katika kipindi kifupi kutokana na msimamo wake wa kutetea haki za raia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

MARIA SARUNGI : Kinara wa mitandao ya kijamii anayesimama kwenye ukweli

Licha ya kuwa Watanzania wengi wameifahamu mitandao ya kijamii miaka michache iliyopita wapo ambao wamekuwa mstari wa mbele kuisukuma na kuifanya kuwa sehemu ya maisha ya watu wengi.

 

10 years ago

Vijimambo

"KATIKA SIASA HAKUNA MALAIKA WALA SHETANI"-Maria Sarungi

Tanzania tunaweza kujenga jamii ya kidemokrasia na itajengwa na SISI wananchi na si wanasiasa. Kwa sababu wanasiasa wako bize kutwaa madaraka – mwanasiasa yoyote yule – tusidanganyike! Hivyo basi sisi wananchi tukiwa kama wanachama wa vyama, kama wapiga kura, tuhakikishe tunakuwa mashabiki wa demokrasia na uwazi kwanza na si mashabiki wa vyama na wanasiasa.

Hivi karibuni kumekuwa na matukio mbalimbali kwa upande wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA kinachonisukuma kusema kuwa tunachoona...

 

10 years ago

Tanzania Daima

MARIA SARUNGI TSEHAI: Muungano wa pamoja utaleta elimu bora

MFUMO wa elimu wa Tanzania, unamtarajia mtoto akimaliza darasa la pili awe ana uelewa mkubwa wa kujua kusoma na kuandika. Makala haya yanamuangazia, Mwanadada Maria Sarungi Tsehai, ambaye ni Mkurugenzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama Maria, Shadia kutua bungeni

WAKE wa waasisi wa Tanganyika na Zanzibar, Mama Maria Nyerere na Mama Shadia Karume ni miongoni mwa wageni mashuhuri wa kitaifa watakaohudhuria uzinduzi wa Bunge Maalumu la Katiba. Uzinduzi huo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Beckenbauer:Sikutarajia Qatar kushinda

Franz Backenbauer amebaini kwamba alishangazwa na hatua ya Qatar kushinda maandalizi ya kombe la dunia mwaka 2022.

 

11 years ago

TheCitizen

Go for ability, not gender: Sarungi

A member of the Constituent Assembly (CA), Ms Maria Sarungi, has urged women to consider competence, not the need for gender balance, when seeking leadership.

 

11 years ago

Mwananchi

Sarungi: Sikubaliani na rasimu mpya

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Maria Sarungi amepinga utaratibu wa kuwasilishwa tena bungeni mabadiliko ya Kanuni ambayo yataibua upya vurugu na hivyo vikao vya Bunge kuendelea kuahirishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani