Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama Maria, Shadia kutua bungeni

WAKE wa waasisi wa Tanganyika na Zanzibar, Mama Maria Nyerere na Mama Shadia Karume ni miongoni mwa wageni mashuhuri wa kitaifa watakaohudhuria uzinduzi wa Bunge Maalumu la Katiba. Uzinduzi huo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Maria Sarungi: Sikutarajia kuzomewa bungeni

Maria Sarungi ni mwanaharakati na mmoja wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye amejizolea umaarufu katika kipindi kifupi kutokana na msimamo wake wa kutetea haki za raia.

 

10 years ago

Mtanzania

Ajali ya Iringa kutua bungeni

GRACE SHITUNDU, DAR NA RAYMOND MINJA, IRINGA
MBUNGE wa Kuteuliwa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), ametangaza azma yake ya kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusu matukio ya ajali nchini ikiwamo iliyotokea juzi mkoani Iringa.
Mbatia amesema lengo la kuwasilisha hoja hiyo ni kuhakikisha watendaji waliosababisha ajali hiyo kwa namna yoyote wanawajibishwa na kufikishwa mahakamani.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, alisema mashuhuda wa ajali wamesema chanzo ni shimo...

 

10 years ago

Daily News

Rumours on Mama Maria allayed


Rumours on Mama Maria allayed
Daily News
THE rumours that were circulated in the social media on Monday stating that the wife of the father of the Nation, Mama Maria Nyerere, has died are not true. A close family relative told the 'Daily News' in the city that the first post-independence First Lady is ...

 

10 years ago

TheCitizen

Mama Maria Nyerere’s take on escrow scandal

>Mwalimu Nyerere’s widow, Mama Maria Nyerere, yesterday urged Parliament to exhaustively debate the Tegeta escrow account  scandal.

 

11 years ago

Mwananchi

Mama Maria Nyerere kuandika kitabu

Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amesema ataandika kitabu kuelezea hatua mbalimbali ambazo nchi imepitia tangu wakati wa ukoloni hadi sasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mama Maria Nyerere amsimulia Mandela

Uhusiano kati ya familia ya Mwalimu Nyerere na ile ya Mzee Nelson Mandela umekuwa ni wa karibu kiasi kwamba familia yake inajiandaa kwenda kuhudhuria mazishi ya Mandela

 

11 years ago

Daily News

Repentant MP seeks Mama Maria Nyerere's mercy


Daily News
Repentant MP seeks Mama Maria Nyerere's mercy
Daily News
MWALIMU Julius Nyerere's widow, Mama Maria Nyerere, has confirmed to have received an apology from a legislator who uttered scornful remarks about Mwalimu in the Constituent Assembly shortly before it was adjourned last month. Speaking to members ...

 

10 years ago

Habarileo

Mama Maria: Mjadala wa Escrow uwe wazi

Mama Maria Nyerere MJANE wa Rais wa Awamu ya Kwanza, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere ameshauri mijadala inayogusa jamii, ikiwamo ile ya akaunti ya Tegeta Escrow ijadiliwe kwa kina ili kupatiwa ufumbuzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mama Maria Nyerere asema yuko hai

''Niko salama na buheri wa afya''Hayo ni maneno ya Mama Maria Nyerere ,mjane wa rais wa kwanza wa taifa la Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani