Mama Maria, Shadia kutua bungeni
WAKE wa waasisi wa Tanganyika na Zanzibar, Mama Maria Nyerere na Mama Shadia Karume ni miongoni mwa wageni mashuhuri wa kitaifa watakaohudhuria uzinduzi wa Bunge Maalumu la Katiba. Uzinduzi huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Maria Sarungi: Sikutarajia kuzomewa bungeni
10 years ago
Mtanzania13 Mar
Ajali ya Iringa kutua bungeni
GRACE SHITUNDU, DAR NA RAYMOND MINJA, IRINGA
MBUNGE wa Kuteuliwa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), ametangaza azma yake ya kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusu matukio ya ajali nchini ikiwamo iliyotokea juzi mkoani Iringa.
Mbatia amesema lengo la kuwasilisha hoja hiyo ni kuhakikisha watendaji waliosababisha ajali hiyo kwa namna yoyote wanawajibishwa na kufikishwa mahakamani.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, alisema mashuhuda wa ajali wamesema chanzo ni shimo...
10 years ago
Daily News10 Mar
Rumours on Mama Maria allayed
Daily News
THE rumours that were circulated in the social media on Monday stating that the wife of the father of the Nation, Mama Maria Nyerere, has died are not true. A close family relative told the 'Daily News' in the city that the first post-independence First Lady is ...
10 years ago
TheCitizen26 Nov
Mama Maria Nyerere’s take on escrow scandal
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Mama Maria Nyerere kuandika kitabu
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Mama Maria Nyerere amsimulia Mandela
11 years ago
Daily News17 May
Repentant MP seeks Mama Maria Nyerere's mercy
Daily News
Daily News
MWALIMU Julius Nyerere's widow, Mama Maria Nyerere, has confirmed to have received an apology from a legislator who uttered scornful remarks about Mwalimu in the Constituent Assembly shortly before it was adjourned last month. Speaking to members ...
10 years ago
Habarileo26 Nov
Mama Maria: Mjadala wa Escrow uwe wazi
MJANE wa Rais wa Awamu ya Kwanza, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere ameshauri mijadala inayogusa jamii, ikiwamo ile ya akaunti ya Tegeta Escrow ijadiliwe kwa kina ili kupatiwa ufumbuzi.
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mama Maria Nyerere asema yuko hai