Bei za mazao sasa kupatikana kwenye simu
SHIRIKA la Masoko la Kariakoo (SMK) kwa kushirikiana na mtandao wa 2Seeds, limezindua namba ya simu na tovuti ya bei ya mazao ambayo itatumika kujua bei mbalimbali za mazao nchini....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-esP2BpfI6PI/VRUkAoSp9II/AAAAAAAHNl8/w0RPeZdM9n0/s72-c/unnamedm.png)
MICHUZI TV SASA KUPATIKANA KWENYE SIMU TV
![](http://1.bp.blogspot.com/-esP2BpfI6PI/VRUkAoSp9II/AAAAAAAHNl8/w0RPeZdM9n0/s1600/unnamedm.png)
Fuatilia Michuzi tv muda wowote na mahali popote ulipo kwenye SIMU.tv.
10 years ago
TZToday![](http://www.tanzaniatoday.co.tz/in-tz.png)
TanzaniaToday : Sasa ipate kwenye simu yako
Pata TanzaniaToday Kwenye Simu yako
Maudhui na Ubora ulele katika mwonekano mpya.
TanzaniaToday Kwenye Simu yako ... ni web app yenye maudhui yote na habari zote zipatikanazo kwenye tovuti yetu , ikiwa imerahisisha kwa ajli ya simu za mkononi.
Itembelee sasa!
Kwa kutumia simu, Andika m.tanzaniatoday.co.tz
sehemu ya anwani ya browser ya simu yako ya mkononi.
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Wateja wa Tigo sasa wanaweza kufurahia nyimbo millioni 36 kwenye simu zao za mkononi za smartphones
Meneja Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Tigo Music( Tigo Kiboko Yako) ambayo itawawezesha wasanii wa ndani kuweza kupata kipato kwa kusikilizwa nyimbo zao kupitia simu za mkononi, pia itaambatana na tamasha kubwa litakalofanyika tarehe 24 mwezi huu viwanja vya Leaders Kinondoni.
Tigo Tanzania imetangaza uzinduzi wa Muziki wa Tigo ujulikanao kama “Tigo Music” kwa kushirikiana na Deezer, ambayo ni huduma ya kimataifa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PDhirsT64-g/XvRndJfCReI/AAAAAAALvWE/YzrzU4pk7K0QcQMJlRcQQL1p3xcYMl3SQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
KUSHUKA KWA BEI YA MAZAO KUSIWAKATISHE TAMAA-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PDhirsT64-g/XvRndJfCReI/AAAAAAALvWE/YzrzU4pk7K0QcQMJlRcQQL1p3xcYMl3SQCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Amesema Serikali inaendelea kulifanyia kazi hilo na kwamba bei ya mazao nchini itaimarika baada ya kuongezeka kwa ujenzi wa viwanda vya kuchakata mazao...
5 years ago
MichuziSERIKALI HAITOPANGA BEI ZA MAZAO YA WAKULIMA-MHE MGUMBA
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imesisitiza kuwa haitopanga wala kuingilia bei za mazao ya wakulima nchini badala yake wakulima watajipangia bei na kuuza wenyewe ilihali serikali ikisalia kama msimamizi.
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Mb)...
9 years ago
StarTV21 Dec
Serikali yaombwa kudhibiti biashara ya mazao nje kupunguza mfumko wa bei
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara wa mazao mbalimbali jijini Mbeya wameiomba Serikali kudhibiti biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi hatua ambayo itasaidia kupunguza mfumko wa bei za vyakula.
Wamesema kwa sasa bei za vyakula kutoka kwa wakulima mashambani zimepanda tofauti na ilivyokuwa miezi michache iliyopita hali inayochagiwa na uuzwaji wa mazao hayo nje ya nchi.
Mazao yaliyopanda bei ni pamoja nyanya na Mchele ambao sasa unauzwa kati ya shilingi 34,000 mpaka 40,000 kwa debe...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MGWkSjAe1pE/Xk5pASOuEWI/AAAAAAAEFHU/ZQ1tODTJrlYGLi8X1xMBHtB0mb6xhUiBwCLcBGAsYHQ/s72-c/5AA-2-1024x682.jpg)
HUDUMA ZA BIMA SASA KUPATIKANA KATIKA MATAWI YOTE YA BENKI YA NMB
![](https://1.bp.blogspot.com/-MGWkSjAe1pE/Xk5pASOuEWI/AAAAAAAEFHU/ZQ1tODTJrlYGLi8X1xMBHtB0mb6xhUiBwCLcBGAsYHQ/s640/5AA-2-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2AA-8-1024x682.jpg)
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-02oMoMeedSo/VflyJKDwVXI/AAAAAAAAIFU/btL4Aa5I2hs/s640/SIMBA%2BNEWS%2Bvoda-03.png)
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Agra: Mazao sasa yatahifadhiwa kisasa