Agra: Mazao sasa yatahifadhiwa kisasa
Taasisi ya Mapinduzi ya Kijani Afrika (Agra), imekuja na njia mpya za kisasa za uhifadhi wa mazao ya wakulima ili kukabiliana na changamoto ya kuharibika wakati wa kusubiri soko baada ya kuvunwa kutoka shambani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Agra yazindua teknolojia mpya ya uhifadhi mazao
10 years ago
StarTV17 Jan
Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Na Ahmed Makongo,
Bunda.
Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.
Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.
where to get student loans with no credit
Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...
10 years ago
Michuzi22 Mar
Tanzania Ijayo, Ufugaji Wa Kisasa Na Biashara Kubwa Ya Mazao Ya Mifugo Yetu - Profesa Muhongo
Wasifu Kwa Kifupi, Prof Sospeter Muhongo) 20 Machi 2015
10 years ago
MichuziWatanzania waaswa kutumia teknolojia mpya na za kisasa kuzalisha mazao na sekta nzima ya kilimo
10 years ago
VijimamboRIPOTI YA HALI YA BIASHARA YA MAZAO YATOKANAYO NA BIOTEKNOLOJIA YA KISASA YA MWAKA 2014 YAZINDULIWA DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Nyerere alipanda mazao, mafisadi sasa wanatafuna
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Bei za mazao sasa kupatikana kwenye simu
SHIRIKA la Masoko la Kariakoo (SMK) kwa kushirikiana na mtandao wa 2Seeds, limezindua namba ya simu na tovuti ya bei ya mazao ambayo itatumika kujua bei mbalimbali za mazao nchini....
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida
Na Jumbe Ismailly, Singida
HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.
Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.
Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
NHC sasa kujenga miji ya kisasa Dar es salaam