Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyerere alipanda mazao, mafisadi sasa wanatafuna

Najaribu sana kuzuia jazba zangu ninapoanza kuandika makala haya leo. Hasa nikitazama jinsi raslimali za taifa letu zilivyokuwa zikilindwa baada ya uhuru na zinavyotumika sasa, napata simanzi na hasira pengine bila sababu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CAG: Wabadhirifu, mafisadi sasa kukiona

Naibu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Jasper Nicholaus Mero amesema pamoja na pongezi ambazo Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inapokea, wananchi wa kawaida wameonyesha kutoridhishwa na hatua zinazochukuliwa dhidi ya watu wanaobainika kufuja mali za umma, kutumia mamlaka yao vibaya kwa mujibu wa ripoti za CAG.

 

10 years ago

Mwananchi

Agra: Mazao sasa yatahifadhiwa kisasa

Taasisi ya Mapinduzi ya Kijani Afrika (Agra), imekuja na njia mpya za kisasa za uhifadhi wa mazao ya wakulima ili kukabiliana na changamoto ya kuharibika wakati wa kusubiri soko baada ya kuvunwa kutoka shambani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bei za mazao sasa kupatikana kwenye simu

SHIRIKA la Masoko la Kariakoo (SMK) kwa kushirikiana na mtandao wa 2Seeds, limezindua namba ya simu na tovuti ya bei ya mazao ambayo itatumika kujua bei mbalimbali za mazao nchini....

 

10 years ago

BBCSwahili

Alipanda kreni kumposa mpenzi.Yalomkuta?

Mwanamume mmoja wa wa udachi amejikuta akikimbilia usalama wake baada ya jaribio la kutaka kumposa mpenzi wake kwa madaha kwenda mrama.

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi ameitaka Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Dodoma kuhakikisha inatafuta suluhisho la haraka la changamoto ya maghala na mifumo ya kuhifadhia mazao inayoikabili taasisi hiyo wakati huu wa msimu wa kununua mazao.
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Aliyoyapinga Nyerere, ndiyo yanafanyika sasa

OKTOBA 14 ya kila mwaka, Watanzania huadhimisha kifo cha muasisi wa taifa hili, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwalimu Nyerere, rais wa kwanza wa Tanganyika huru na baadaye Tanzania alifariki dunia...

 

10 years ago

Vijimambo

Mawaziri wa sasa,wa Nyerere ,mbingu na nchi


Peter AmbilikileBARAZA la Mawaziri la sasa ambalo lina asilimia 95 ya wasomi na wenye umri zaidi ya miaka 50, limekuwa likikumbwa mara kwa mara na kashfa za ufisadi na kukosa uwajibikaji, ukilinganisha na baraza la Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Amani Abeid Karume.Uchambuzi uliofanywa na gazeti hili unaonesha kwamba kati ya mawaziri 31 kamili, ni mawaziri sita tu ndiyo wenye umri wa miaka chini ya 50.Mawaziri hao ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (40), Waziri wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani