Aliyoyapinga Nyerere, ndiyo yanafanyika sasa
OKTOBA 14 ya kila mwaka, Watanzania huadhimisha kifo cha muasisi wa taifa hili, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwalimu Nyerere, rais wa kwanza wa Tanganyika huru na baadaye Tanzania alifariki dunia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-7
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Eee…nani? Kaanguka? Nakuja…nakuja sasa hivi,” alisema Suu na nikasikia kitanda kikilia, kuashira anatoka kitandani. Nikachukia sana maana na mimi nilikuwa pazuri.
Suu alifungua mlango huku akimwambia kaka Cheni…
“Baby acha niende tu. Nitarudi baadaye…”
TAMBAA NAYO SASA…
Kaka Cheni alijitahidi kumshawishi demu wake asiondoke, lakini wapi! Akasema lazima aende. Na mimi nikawa namwombea kwa mungu wangu demu wake asiondoke ili nifaidi maana nilishakuwa moto.
“Hapana...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-6
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Anko, Mwanamaua anasema amesahau kitambaa chake cha kichwani chumbani kwako kitandani, kasema nipe nimpelekee ataulizwa na mama yake asiporudi nacho…halafu kasema hujamwambia usiku wa leo aje au asije maana simu yake ina matatizo ya chaja.”
SHUKA NAYO MWENYEWE SASA…
Nilimwona baba akitetemeka, akamkazia macho kaka Cheni, akasimama maana alikaa…
“Cheni,” aliita mama akitoka ndani na si baba…
“Abee…” kaka Cheni alichanganyikiwa, ilibidi aitike kama mwanamke, kama...
10 years ago
Vijimambo08 Feb
NDIYO HABARI YA MJINI SASA KIROHO SAFI
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/OMMY_DIMPOZ.jpg)
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/WEMA_SEPETU65.jpg)
Alianza Ommy na badae akafuta Wema ambae aliweka picha hizo jana usiku na kuwatakia followers wake usiku mwema.
Penzi la watu hawa linaendelea kuzua mvutano mkali kati ya wale ambao wanaona sawa na wale ambao wanaona kama sio sawa, wanaosema sawa wanasema,baada ya watu kuachana kila mmoja ana haki ya kula maisha na anaempenda hivyo...
10 years ago
Vijimambo31 Mar
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2
![](http://api.ning.com/files/Z-JJSpQIZ6-DdIqG6stPddxLftfvovrSXvrUmlemlKwxmMLIXVlKVOI09Pla36hRBdm7VGfli*TvZac4cdmOUKUrpwp62Gx3/blackwomanwithwhitemanpf.jpg?width=650)
Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.
Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...
10 years ago
Mwananchi26 Oct
‘Blue Iris’ kwa sasa ndiyo mpango mzima
10 years ago
Bongo Movies08 May
Hii ndiyo Sababu ya Ray Kutooa Hadi Sasa
Staa mkongwe wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefungukia sababu za kutooa licha ya kwamba umri umekwenda.
Akizungumza na gazeti la Ijumaa katika mahojiano maalum, Ray alisema amekuwa akipangua mawazo ya kuoa kila wakati kutokana na ugumu wa kumpata mwanamke ambaye hatampa stress kama zinazowapata baadhi ya watu.
Alisema, kwa kuwa suala la kuoa ni jambo nyeti, halihitaji kukurupuka na hicho ndicho kimemfanya mpaka leo asiingie kwenye maisha ya ndoa.
“Unajua hili suala la ndoa ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ68jlE9nYbDLYnmX58Fm4v62vuplbVM0*eHkW-JKhL-AV39JDe-Zq2xSO26GlDyoWY7O3PgmD7XrvNnmLfWvttS*/lOVE.jpg?width=650)
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykXYy8f9ERiT2eMQ56UF54fF4dV-u*hrKyyghLTQiyYbzsCFDNh6FPn*yXNg2n9CBO3JfU7GkfgkJ8g5hHnuqVnm/couples.jpg?width=650)
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA?
10 years ago
Vijimambo29 May
Mawaziri wa sasa,wa Nyerere ,mbingu na nchi
![](http://jamboleo.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/Julius-Nyerere-640x853.jpg)
Peter AmbilikileBARAZA la Mawaziri la sasa ambalo lina asilimia 95 ya wasomi na wenye umri zaidi ya miaka 50, limekuwa likikumbwa mara kwa mara na kashfa za ufisadi na kukosa uwajibikaji, ukilinganisha na baraza la Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Amani Abeid Karume.Uchambuzi uliofanywa na gazeti hili unaonesha kwamba kati ya mawaziri 31 kamili, ni mawaziri sita tu ndiyo wenye umri wa miaka chini ya 50.Mawaziri hao ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (40), Waziri wa...