Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Blue Iris’ kwa sasa ndiyo mpango mzima

Kama mfuatiliaji wa masuala ya mitindo unaweza kuelewa kuwa ni rangi zipi zilizo juu kwa sasa kwenye mitindo. Katika orodha yoyote inayohusiana nazo huwezi kukosa rangi ya bluu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MPANGO WA ‘BLUE PRINT’ UMEANZA KULETA NEEMA YA KIUCHUMI KWA WAFANYABIASHARA

Na Ismail Ngayonga,MAELEZO-DAR ES SALAAM
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR -TAMISEMI) inatekeleza Mpango wa wa Uboreshaji wa Mazingira ya Biashara (BLUE PRINT) unaolenga kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji kwa Njia ya Majadiliano ili kuwainua Wananchi Kiuchumi.
Mpango huo unatekelezwa ili ili kukabiliana na changamoto za kibiashara na uwekezaji hususani zinazokwamisha kukua kwa biashara na maendeleo ya kiuchumi katika ngazi ya chini na wananchi wanaojishughulisha...

 

11 years ago

GPL

USIKU WA MATUMAINI 2014 NDO MPANGO MZIMA

LILE Tamasha kubwa nchini Tanzania, Tamasha la Usiku wa Matumaini mwaka huu litatimua vumbi Agosti 8 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Usikose!

 

10 years ago

Dewji Blog

Coastal Aviation mpango mzima na Sauti za Busara 2015

1510425_609921185819281_4491179347497124483_n

 

Na Andrew Chale

“ALL THE ALL FOR THE SOUNDS OF WISDOM!”

Coastal Aviation We have arranged MORE THAN 20 FLIGHTS A DAY throughout the weekend to support the festival and allow everybody to enjoy this intense celebration of African music!

How does it sound? Full mzuka na Sauti za Busara 2015!!.

More details on http://www.coastal.co.tz/media/press/

 http://www.coastal.co.tz/media/videos/

http://www.coastal.co.tz/flights/scheduled-flights/

Mwandishi wa Modewji blog akiwa tayari akiendelea kukuletea yanayoajili huko Zanzibr ambapo alisafiri na Coastal Aviation

Mwandishi wa modewji blog, Andrew Chale akiwa tayari...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wizi wa Kura Wanaswa, Mpango Mzima Huu Hapa

Katika gazeti bora hapa nchini la leo (Mawio) limeonyesha tayari mkakati maalum wa wizi wa kura unaohusisha makepteni umekamilika. Makepteni hao tayari washapewa mafunzo kwa siku kadhaa na kusambazwa katika majimbo yote 265 ya uchaguzi nchini […]

The post Wizi wa Kura Wanaswa, Mpango Mzima Huu Hapa appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

MPANGO MZIMA WA RATIBA YA HARAKATI ZA VALENTINE NDANI YA VILLA PARK JIJINI MWANZA

Mpango mzima wa 'Harakati za Valentine ndani ya Villa Park Mwanza, utakao anza rasmi Alhamisi ya tarehe 12/02/2015 ambapo Mfalme Mzee Yusufu na Bendi yake ya Jahazi Mordrn Taarab kuhusika, kiingilio nishilingi 10,000/=

Kisha Jumamosi ya tarehe 14/02/2015 Valentines Day bendi ya Super Kamanyola kutambulisha safu ya waimbaji wake wapya, Kiingilio Sebuleni Tshs 5,000/= na Tshs10,000/= utazama hadi Disco ambako kutakuwa na mpambano wa Ma-Dj NANI MKALI KATI YA DJ TASS (MAGIC FM) V/s DJ EDDY (RFA)

 

9 years ago

Bongo5

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa — Aika

12105167_1506010783031014_240686127_n

Member wa kundi la Navy Kenzo, Aika amesema hana mpango wa kuwa mtoto kwa sasa.

12105167_1506010783031014_240686127_n

Aika ambaye ni mpenzi wa producer Nahreel anayeunda naye kundi la Navy Kenzo, aliiambia Radio Five ya Arusha kuwa haitaji mtoto kwa sasa kwa kuwa bado anajipanga.

“Mtoto sasa hivi nitakuwa namtesa kumleta kwenye haya mazingira na mimi ndo nimeanza kutafuta, kujenga muziki wetu,” alisema.

“Ningependa nimlete wakati mambo yangu pia yametulia ili aingie kwenye maisha mazuri. Mtoto akikuta maisha mazuri na yeye...

 

5 years ago

Michuzi

Huduma ya M-Pesa ya Vodacom Sasa Ulimwengu Mzima.


Zaidi ya nchi 200 zitaweza kutuma na kupokea fedha kupitia M-Pesa - Huduma za fedha kupitia simu za mkononi kuchochea ukuaji wa uchumi Afrika 

Juni 16 2020, Dar es Salaam: Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini kupitia huduma ya kifedha ya Vodacom M-Pesa leo imetangaza kuongezeka kwa mfuko wake wa huduma za kutuma na kupokea fedha kimataifa. Wateja wa Vodacom sasa watakuwa na uwezo na nafasi ya kutuma na kupokea fedha kutoka kwa wenzao katika nchi zaidi ya 200 duniani...

 

9 years ago

Bongo5

Davido asema hana mpango kabisa wa kuoa kwa sasa

Licha ya kujaliwa kupata mtoto wa kwanza mwaka huu, star wa Nigeria, Davido amesema hafikirii kabisa kuoa kwa sasa. Davido akiwa na baby mama wake Katika mahojiano na gazeti la Punch la Naija, star huyo ambaye wiki iliyopita ametoa wimbo mpya ‘Dodo’, alipoulizwa kama baada ya kujaliwa kupata mtoto kama anafikiria kuoa alijibu, “Sifikirii kabisa, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani