Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Beijing:Wanariadha 2 Wakenya mashakani

Wanariadha wawili wa Kenya wamebainika kwamba walitumia dawa za kusisimua misuli katika mashindano yanayoendelea ya IAAF mjini Beijing.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wanaotumia dawa mashakani

Wanariadha watakaopatikana wametumia dawa za kusisimua misuli watapigwa marufuku ya miaka minne

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wakenya wapigwa marufuku

Wanariadha wawili wa Kenya Viola Chelangat Kimetto na Joyce Jemutai Kiplimo, wamepataikana na hatia ya kutumia dawa za kusisimua misuli na kupigwa marufuku kwa miaka 2

 

9 years ago

BBCSwahili

Beijing:Je,Wakenya watawika leo?

Ni siku kubwa kwa Wakenya katika mashindano ya IAAF mjini Beijing Uchina.Nayo ni fainali ya mbio za kuruka viunzi na maji mita 3,000 mchezo ambao inautawala.

 

9 years ago

BBCSwahili

Beijing:Wakenya washinda dhahabu nyengine 2

Kenya imeshinda dhahabu nyengine mbili katika mashindano ya riadha yanayoendelea mjini Beijing Uchina baada ya mrusha mkuki Julius Yego na Hyvin Jepkemoi wa mita 3000 kuruka viunzi upande wa wanawake kuchukua dhahabu.

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Wanariadha mna deni

 Rais Jakaya Kikwete aliangalia mechi yote ya fainali ya Kombe la Dunia na jana aliipongeza Ujerumani kwa kutwaa ubingwa, lakini baadaye jioni aliwaaga wanamichezo wa Tanzania  wanaoenda kwenye Michezo ya |Jumuiya ya Madola akisema wana deni kubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha: Wanariadha bado

Kocha wa timu ya taifa ya riadha, Boniface Kimisha amesema wanariadha wa Tanzania wanaoendelea na kambi China bado imeshindwa kuwasaidia kudadilisha viwango vyao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanariadha waandamana Kenya

Kundi la wanariadha waliojawa na hamaki limevamia makao makuu ya shirikisho la riadha nchini Kenya AK

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wa Kenya hatiani

Wanariadha wawili wa kike nchini Kenya, Viola Kimetto na Joyce Kiplimo, wamepigwa marufuku kushiriki riadha, baada ya Shirikisho la riadha Kenya, kugundua walikuwa wakitumia dawa za kuongezea nguvu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanariadha nyota kuchuana

>Wanariadha maarufu Tanzania, Mary Naali, Jacqueline Sakilu, Sarah Ramadhani, Andrew Sambu na Dickson Marwa ni miongoni mwa wakimbiaji watakaochuana kusaka ubingwa wa mbio za Kilimanjaro Marathon.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani