Beijing:Wanariadha 2 Wakenya mashakani
Wanariadha wawili wa Kenya wamebainika kwamba walitumia dawa za kusisimua misuli katika mashindano yanayoendelea ya IAAF mjini Beijing.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Wanariadha wanaotumia dawa mashakani
Wanariadha watakaopatikana wametumia dawa za kusisimua misuli watapigwa marufuku ya miaka minne
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wanariadha wakenya wapigwa marufuku
Wanariadha wawili wa Kenya Viola Chelangat Kimetto na Joyce Jemutai Kiplimo, wamepataikana na hatia ya kutumia dawa za kusisimua misuli na kupigwa marufuku kwa miaka 2
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Beijing:Je,Wakenya watawika leo?
Ni siku kubwa kwa Wakenya katika mashindano ya IAAF mjini Beijing Uchina.Nayo ni fainali ya mbio za kuruka viunzi na maji mita 3,000 mchezo ambao inautawala.
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Beijing:Wakenya washinda dhahabu nyengine 2
Kenya imeshinda dhahabu nyengine mbili katika mashindano ya riadha yanayoendelea mjini Beijing Uchina baada ya mrusha mkuki Julius Yego na Hyvin Jepkemoi wa mita 3000 kuruka viunzi upande wa wanawake kuchukua dhahabu.
11 years ago
Mwananchi16 Jul
JK: Wanariadha mna deni
 Rais Jakaya Kikwete aliangalia mechi yote ya fainali ya Kombe la Dunia na jana aliipongeza Ujerumani kwa kutwaa ubingwa, lakini baadaye jioni aliwaaga wanamichezo wa Tanzania wanaoenda kwenye Michezo ya |Jumuiya ya Madola akisema wana deni kubwa.
11 years ago
Mwananchi31 May
Kocha: Wanariadha bado
Kocha wa timu ya taifa ya riadha, Boniface Kimisha amesema wanariadha wa Tanzania wanaoendelea na kambi China bado imeshindwa kuwasaidia kudadilisha viwango vyao.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Wanariadha waandamana Kenya
Kundi la wanariadha waliojawa na hamaki limevamia makao makuu ya shirikisho la riadha nchini Kenya AK
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Wanariadha wa Kenya hatiani
Wanariadha wawili wa kike nchini Kenya, Viola Kimetto na Joyce Kiplimo, wamepigwa marufuku kushiriki riadha, baada ya Shirikisho la riadha Kenya, kugundua walikuwa wakitumia dawa za kuongezea nguvu.
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Wanariadha nyota kuchuana
>Wanariadha maarufu Tanzania, Mary Naali, Jacqueline Sakilu, Sarah Ramadhani, Andrew Sambu na Dickson Marwa ni miongoni mwa wakimbiaji watakaochuana kusaka ubingwa wa mbio za Kilimanjaro Marathon.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania