Beki wa Liverpool nje msimu mzima
Joe Gomez beki wa kushoto wa klabu ya Liverpool atakua nje ya uwanja kwa msimu msimu uliobaki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo515 Oct
Beki wa Liverpool kuwa nje msimu mzima baada ya kuumia
Klabu ya Liverpool imepata pigo baada beki wake kushoto Joe Gomez kuumia na atakua atakuwa nje ya uwanja kwa msimu uliobaki. Gomez mwenye umri wa 18 aliumia goti wakati akiichezea timu ya taifa ya England chini ya miaka 21 katika mchezo dhidi ya Kazakhstan. Kinda huyo amecheza michezo mitano ya ligi kuu msimu huu toka […]
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Ings nje ya dimba kwa msimu mzima
Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Dany Ings atakua nje ya uwanja kwa msimu mzima baada ya kuumia goti
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Beki Simba avunjika kidole, kukaa nje mwezi mmoja
Beki wa kushoto wa Simba, Emery Nimubona amevunjika kidole cha mkono wa kushoto, hivyo atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki nne.
10 years ago
Michuzi17 Apr
KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA MSIMU NA KUFUNGUA MSIMU MPYA
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali
Ligi Kuu Tanzania Bara imesimama kwa muda wa mwezi mmoja huku timu zote zikiwa zimeshacheza michezo saba na Mtibwa Sugar ndiyo inaongoza msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 15.
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Liverpool,Man City zashinda Man United nje
Kocha mpya wa Liverpool Jurgen Klopp,ameandikisha ushindi wake wa kwanza,huku Man United ikiambulia kichapo mikononi mwa Middlesbrough
5 years ago
BBC01 Mar
Watford 3-0 Liverpool: Liverpool 'unburdened' as unbeaten run comes to end
Liverpool's trip to Watford was supposed to be a landmark day for the Reds but it ended up being one for the wrong reasons, reports Gary Rose.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWgSqO7ypDtxRUvsKW-BTbKHPVUO1B0U9rp*j6j1AMFAD8uGBif9wtd07*4Uccs0wzvfbZwPOBbt*VrnmcJTmG7U/beki.jpg)
Beki awaita Simba Nigeria
Beki wa zamani wa Simba, Komambil Keita. Na Mwandishi Wetu
BEKI wa zamani wa Simba, Komambil Keita, amewaita viongozi wa klabu hiyo nchini Nigeria wakafanye mazungumzo. Keita, raia wa Mali, anakipiga nchini Nigeria katika klabu ya Highland FC na ametamba kuwa yuko katika kiwango cha juu kabisa.Akizungumza na Championi Jumatano kutoka Nigeria, Keita amesema amepata taarifa za Simba kuwa na matatizo katika safu ya ulinzi....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania