Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ings nje ya dimba kwa msimu mzima

Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Dany Ings atakua nje ya uwanja kwa msimu mzima baada ya kuumia goti

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Beki wa Liverpool nje msimu mzima

Joe Gomez beki wa kushoto wa klabu ya Liverpool atakua nje ya uwanja kwa msimu msimu uliobaki

 

9 years ago

Bongo5

Beki wa Liverpool kuwa nje msimu mzima baada ya kuumia

Klabu ya Liverpool imepata pigo baada beki wake kushoto Joe Gomez kuumia na atakua atakuwa nje ya uwanja kwa msimu uliobaki. Gomez mwenye umri wa 18 aliumia goti wakati akiichezea timu ya taifa ya England chini ya miaka 21 katika mchezo dhidi ya Kazakhstan. Kinda huyo amecheza michezo mitano ya ligi kuu msimu huu toka […]

 

9 years ago

Michuzi

MAJI ya Mtera yatakiwa kutunzwa kwa mwaka mzima

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akizungumza na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme wa maji cha Mtera ili kukagua kituo hicho na kuzungumza na wataalam.Wa Tatu kulia ni Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Mhandisi Hosea Mbise), na wa Nne kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Justus Mulokozi.Katibu Mkuu Wizara...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Blue Iris’ kwa sasa ndiyo mpango mzima

Kama mfuatiliaji wa masuala ya mitindo unaweza kuelewa kuwa ni rangi zipi zilizo juu kwa sasa kwenye mitindo. Katika orodha yoyote inayohusiana nazo huwezi kukosa rangi ya bluu.

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Atoboa Sababu ya Kutofanya ‘Movie’kwa Mwaka Mzima

Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael,’Lulu’amefunguka sababu ya kutofanya filamu kwa mwaka mzima kuwa alikuwa bize na shughuli zingine ikiwemo masomo.

Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa mwaka jana wote alikuwa ‘host’ kwenye mashindano ya kutafuta vipaji vya uigizaji (Tanzania Movie Talents) ambayo ilifanyika karibu mikoa yote,pia alikuwa bize na masomo katika chuo cha  Magogoni akichukua kozi ya Public Administration.

‘’Mwaka jana wote sikufanya filamu kabisa kutokana na kuwa bize...

 

9 years ago

Bongo5

Serena Williams atangaza kupumzika kucheza tenesi kwa mwaka mzima

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake, Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mzima kutoka na kuwa na majeraha. Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa kwenye michuano ya wazi ya Wuhan ,Williams mwenye miaka 34 amesema” nimecheza nikiwa na maumivu kwa muda wa mwaka mzima,” Nyota huyo wa […]

 

10 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA MSIMU NA KUFUNGUA MSIMU MPYA

Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Tumbaku ya Tanzania Tobacco Procesing Limited (TTPL) na Tanzania Leaf Tobacco Company (TLTC) David Crowhorst Akitoa hotuba yake wakati wa sherehe za kumaliza msimu uliopita na kukaribisha msimu mwingine pamoja na kutoa zawadi kwa wafanyakazi waliotumikia kampuni hizo kwa muda mrefu pamoja na wafanyakazi bora zilizofanyika Kiwandani hapo.Katika Hotuba yake Mkurugenzi Huyo alisema Makampuni hayoyamesaidia Mkoa wa Morogoro kuanza kuinuka kiuchumi kutokana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali

Ligi Kuu Tanzania Bara imesimama kwa muda wa mwezi mmoja huku timu zote zikiwa zimeshacheza michezo saba na Mtibwa Sugar ndiyo inaongoza msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 15.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani