Belle 9 alia na utaratibu wa ‘PF3’ nchini
Belle 9 ameishauri serikali kufuta huduma ya PF3 ambayo inaonekana kuchelewesha wagonjwa wengi kuikosa huduma muhimu ya kiafya, inayoweza kuokoa maisha ya watu ndani ya wakati mwafaka.
Muimbaji huyo amesema hayo baada ya kuenea kwa taarifa zinazodai kuwa kifo cha baba yake mzazi, aliyepata ajali usiku wa kuamkia Jumatatu, baada ya kugongwa na pikipiki, kilitokana na kucheleweshwa kupata huduma hospitalini, kutokana na kukosa PF3.
“Mimi nadhani PF3 ingefutwa. Wangebadilisha utaratibu PF3...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-ZD-Lr6w_Uus/VV35Kr122ZI/AAAAAAAABmE/hPeqJ7fUZn0/s72-c/getty_rf_photo_of_chewing_gum_in_wrapper.jpg)
UTARATIBU WA SASA KUHUSU 'BIG G' NCHINI SINGAPORE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZD-Lr6w_Uus/VV35Kr122ZI/AAAAAAAABmE/hPeqJ7fUZn0/s400/getty_rf_photo_of_chewing_gum_in_wrapper.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Wanaokiuka utaratibu kutwaa madaraka, watavuruga utaratibu, wadumu milele
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rc15gsfjFDM/VVNNKlDuF7I/AAAAAAAHXCc/I12FhZRVlAA/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
MADEREVA NCHINI KUENDELEA NA UTARATIBU WA AWALI KUHUISHA LESENI ZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rc15gsfjFDM/VVNNKlDuF7I/AAAAAAAHXCc/I12FhZRVlAA/s640/unnamed%2B(59).jpg)
Na Pius Yalula-MAELEZO-Dar es salaam
Serikali imesema hakutakuwa na mafunzo kwa madereva wa malori na mabasi na...
10 years ago
Habarileo15 Feb
Mbowe ‘alia’ na mfumo wa elimu nchini
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa tatizo la elimu hapa nchini linasababishwa na wasimamizi wa mfumo wa elimu.
11 years ago
Michuzi12 Feb
IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu.
na Mbeya yetu.---------------------------- IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu. Akizungumza na waandishi wa habari ofisinin kwake Afisa Uhamiaji Mkoa wa Mbeya, William Bambanganya...
10 years ago
CloudsFM22 Jan
9 years ago
Bongo504 Dec
Music: Belle 9 – Kupenda
![InstaShot_20151203_222912](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/InstaShot_20151203_222912-300x194.jpg)
Huu ni wimbo kutoka kwa msanii Belle 9 unaitwa “Kupenda”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/CFTs_opzCeQ/default.jpg)
10 years ago
Bongo521 Jan
New Video: Edu Boy Ft Belle 9 — Yes or No