Benki ya Dunia: Maskini hohehahe wamepungua
Benki ya Dunia imesema watu watakaokuwa wakiishi katika umaskini uliokithiri kufikia mwisho wa mwaka 2015 watakuwa chini ya 10%.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Benki ya Dunia: Mpango mpya umeleta mafanikio kwa maskini
>Wakati idadi ya Watanzania wanaoishi kwenye umaskini uliokithiri ikizidi kuongezeka, Benki ya Dunia (WB) inasema kuwa njia ya kuwapa watu hao fedha taslimu inapungua tatizo hilo.
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO
Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kyle Peters akiwahutubia wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini katika kijiji cha Buma wilayani Bagamoyo. Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus…
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO.
Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Bwana Kyle Peters amefanya ziara katika kijiji cha Buma wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani ambako ameshuhudia walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaotekelezwa na TASAF na kuridhishwa kwake na namna mpango huo ulivyowanufaisha walengwa ambao wameanza kuondokana na umaskini.
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*4sM22xZ7yt5f09C4fnYkPnuURe4ANxu40MtwLxNuSsoSJ5xhFBd*46TMivLCFKBSUTKHgrmtYUWfz*cFRszUl3MalFu2PHI/sauda.jpg)
MASKINI SAUDA MWILIMA AJIFUNGUA MTOTO, AFARIKI DUNIA
Musa Mateja HUZUNI! Mtangazaji mahiri wa Kituo cha Televisheni cha Star TV, Sauda Mwilima hivi karibuni alipatwa na majonzi mazito baada ya kujifungua mtoto kwa upasuaji ambaye kesho yake alipoteza maisha, akimuacha akiwa hoi kitandani....Soma zaidi===>http://goo.gl/i2BnFM
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/10342004_1886404071498512_8618777191309208307_n.jpg)
MASKINI! MTOTO SHIGELA ALIYEZALIWA NA VVU AAGA DUNIA JIJINI MWANZA
Marehemu Shigela enzi za uhai wake akihojiwa na Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania, Hoyce Temu. Mtoto Shigela amefariki dunia jana asubuhi tarehe 29/05/2014 nyumbani kwao mkoani Mwanza akisumbuliwa na maradhi ya moyo. Mtoto Shigela alikuwa ni mmoja kati ya watoto waliozaliwa na VVU na kipindi cha Mimi na Tanzania kilimtangaza na alipatiwa misaada mingi toka kwa Watanzania . Bado msaada wako unahitajika kukamilisha...
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Wazee wapo, ila wenye hekima Tanzania wamepungua
Kutokana na mchakato wa katiba mpya sasa kusuasua nchini Tanzania, imenifikirisha sana na kufikia kuja na hitimisho kuwa Tanzania wazee wapo wa kutosha, lakini wenye hekima na wanaosikilizwa wamepungua sana.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Umaskini hohehahe aibu mbele ya macho yetu
Â
Tushukuru tumemaliza sherehe za Krismasi kwa salama, huku tukimuomba Mwenyezi Mungu atusambazie amani, neema na mafanikio katika maisha yetu mnamo mwaka huu mpya wa 2014.
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Matibabu ya wakubwa yakiisha, tuulizie afya za hohehahe - 1
Wiki moja iliyopita Serikali yetu kupitia Ikulu iliujulisha umma kuwa Rais Jakaya Kikwete anakwenda nje ya nchi kukagua afya yake.
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Matibabu ya wakubwa yakiisha, tuulizie afya za hohehahe- 2
Jumapili iliyopita, tulijadili sehemu ya kwanza ya makala haya. Tuliangalia kwa muhtasari suala la Rais wetu kwenda kutibiwa nje ya nchi na kutoa taarifa kuwa utaratibu huo ni wa kawaida kwa marais na viongozi wengine hapa Afrika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania