Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki ya Dunia: Maskini hohehahe wamepungua

Benki ya Dunia imesema watu watakaokuwa wakiishi katika umaskini uliokithiri kufikia mwisho wa mwaka 2015 watakuwa chini ya 10%.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Benki ya Dunia: Mpango mpya umeleta mafanikio kwa maskini

>Wakati idadi ya Watanzania wanaoishi kwenye umaskini uliokithiri ikizidi kuongezeka, Benki ya Dunia (WB) inasema kuwa njia ya kuwapa watu hao fedha taslimu inapungua tatizo hilo.

 

10 years ago

GPL

MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO

Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kyle Peters akiwahutubia wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini katika kijiji cha Buma wilayani Bagamoyo. Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus…

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO.

 Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Bwana Kyle Peters amefanya ziara katika kijiji cha Buma wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani ambako ameshuhudia walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaotekelezwa na TASAF na kuridhishwa kwake na namna mpango huo ulivyowanufaisha walengwa ambao wameanza kuondokana na umaskini.
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...

 

9 years ago

GPL

MASKINI SAUDA MWILIMA AJIFUNGUA MTOTO, AFARIKI DUNIA

Musa Mateja HUZUNI! Mtangazaji mahiri wa Kituo cha Televisheni cha Star TV, Sauda Mwilima hivi karibuni alipatwa na majonzi mazito baada ya kujifungua mtoto kwa upasuaji ambaye kesho yake alipoteza maisha, akimuacha akiwa hoi kitandani....Soma zaidi===>http://goo.gl/i2BnFM

 

11 years ago

GPL

MASKINI! MTOTO SHIGELA ALIYEZALIWA NA VVU AAGA DUNIA JIJINI MWANZA‏

Marehemu Shigela enzi za uhai wake akihojiwa na Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania, Hoyce Temu. Mtoto Shigela amefariki dunia jana asubuhi tarehe 29/05/2014 nyumbani kwao mkoani Mwanza akisumbuliwa na maradhi ya moyo. Mtoto Shigela alikuwa ni mmoja kati ya watoto waliozaliwa na VVU na kipindi cha Mimi na Tanzania kilimtangaza na alipatiwa misaada mingi toka kwa Watanzania . Bado msaada wako unahitajika kukamilisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Wazee wapo, ila wenye hekima Tanzania wamepungua

Kutokana na mchakato wa katiba mpya sasa kusuasua nchini Tanzania, imenifikirisha sana na kufikia kuja na hitimisho kuwa Tanzania wazee wapo wa kutosha, lakini wenye hekima na wanaosikilizwa wamepungua sana.

 

11 years ago

Mwananchi

Umaskini hohehahe aibu mbele ya macho yetu

  Tushukuru tumemaliza sherehe za Krismasi kwa salama, huku tukimuomba Mwenyezi Mungu atusambazie amani, neema na mafanikio katika maisha yetu mnamo mwaka huu mpya wa 2014.

 

10 years ago

Mwananchi

Matibabu ya wakubwa yakiisha, tuulizie afya za hohehahe - 1

Wiki moja iliyopita Serikali yetu kupitia Ikulu iliujulisha umma kuwa Rais Jakaya Kikwete anakwenda nje ya nchi kukagua afya yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Matibabu ya wakubwa yakiisha, tuulizie afya za hohehahe- 2

Jumapili iliyopita, tulijadili sehemu ya kwanza ya makala haya. Tuliangalia kwa muhtasari suala la Rais wetu kwenda kutibiwa nje ya nchi na kutoa taarifa kuwa utaratibu huo ni wa kawaida kwa marais na viongozi wengine hapa Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani