Benki ya Dunia: Mpango mpya umeleta mafanikio kwa maskini
>Wakati idadi ya Watanzania wanaoishi kwenye umaskini uliokithiri ikizidi kuongezeka, Benki ya Dunia (WB) inasema kuwa njia ya kuwapa watu hao fedha taslimu inapungua tatizo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO.
Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Bwana Kyle Peters amefanya ziara katika kijiji cha Buma wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani ambako ameshuhudia walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaotekelezwa na TASAF na kuridhishwa kwake na namna mpango huo ulivyowanufaisha walengwa ambao wameanza kuondokana na umaskini.
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...
Akiwa kijijini hapo Bwana Peters alitembelea moja ya nyumba iliyoboreshwa na mmoja wa walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini Bwana Bakari Rajabu Bakari ambaye kwa kutumia fedha...
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA BW. KYLE PETERS ATEMBELEA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOETEKELEZWA NA TASAF WILAYANI BAGAMOYO
Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kyle Peters akiwahutubia wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini katika kijiji cha Buma wilayani Bagamoyo. Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus…
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Benki ya Dunia: Maskini hohehahe wamepungua
Benki ya Dunia imesema watu watakaokuwa wakiishi katika umaskini uliokithiri kufikia mwisho wa mwaka 2015 watakuwa chini ya 10%.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Qhf4yxOHhA/VCI_XtC3i6I/AAAAAAACrh0/ax0Mkz1a2cc/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAANZA MAFUNZO KWA WATAALAMU WA KISEKTA KWA AJILI YA UIBUAJI MIRADI KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI
Mfuko wa Maendeleo ya jamii TASAF umeanza kuwajengea uwezo wataalamu ngazi ya Kata kutoka mamlaka nane za utekelezaji wa mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na kuwawezesha walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masini kuibua miradi inayoweza kutekelezeka ndani ya kipindi kifupi katika mpango wa miradi ya ajira kwa walengwa (Public Works Project kwa lengo la kuwaongezea kipato).
Akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wataalamu hao mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bwana...
Akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wataalamu hao mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bwana...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jxIeoL6fQOY/VKFikpTsRoI/AAAAAAAG6bQ/YwIkYHvyGfk/s72-c/New%2BPicture.png)
MPANGO WA AJIRA ZA MUDA KWA WALENGWA WA KAYA MASKINI CHINI YA TASAF WASHIKA KASI KISIWANI ZANZIBAR.
Walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya maskini unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wameanza utekelezaji wa miradi ya ajira za muda na kisha kulipwa ujira katika miradi wanayoibua kwenye maeneo yao .Walengwa wa vijiji kadhaa vilivyoko kwenye Mpango huo kikiwemo kile cha Mzuri na Kijini vilivyoko katika eneo la Makunduchi mkoa wa Kusini Unguja wameanza kutengeneza barabara yenye urefu wa zaidi ya kilometa moja na vitalu vya miche ya miti ya asili na matunda katika eneo lao na kisha...
5 years ago
MichuziBenki ya Absa Tanzania yadhamini Kili Marathon 2020 kwa mafanikio
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4HjcdkP3ogc/VoTWsXxSCII/AAAAAAADEXs/kiCvWXqOOlk/s72-c/8d3fExim-Bank-Tanzania.jpg)
Benki ya Exim yafunga mauzo ya dhamana yake kwa mafanikio makubwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4HjcdkP3ogc/VoTWsXxSCII/AAAAAAADEXs/kiCvWXqOOlk/s320/8d3fExim-Bank-Tanzania.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA EXIM TANZANIA YASHIRIKI MAONYESHO YA 18 YA WIKI YA MAZIWA KWA MAFANIKIO MAKUBWA.
10 years ago
Habarileo08 Jan
Wanasiasa waonywa mpango wa kunusuru kaya maskini
VIONGOZI na wanasiasa wameaswa kutotumia mpango wa kunusuru kaya masikini wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kuingiza majina ya watu ambao si walengwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania