Benki ya Exim yaijengea maliwato Shule ya Msingi Kilakala
![](http://2.bp.blogspot.com/-mZ0u7Vgu7_I/U_rshKDDSDI/AAAAAAACoCw/zGZ39wZC9iI/s72-c/Kila%2BPIX%2B1.jpg)
Mkuu wa matawi (Cluster Head) wa Benki ya Exim Tanzania, Bi Agnes Kaganda (wapili kushoto) na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kilakala, Bw. Abdul Kuratasa kwapamoja wakifungua jiwe la msingi kuonyesha makabidhiano rasmi ya maliwato iliyojengwa na benki hiyo. Hafla hiyo ilifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Wakishuhudia ni Kaka Mkuu wa Shule Seif Ahmed (wa kwanza kushoto), Dada Mkuu wa shule Naomi Shakila (wa kwanza kulia) na mlezi wa shule hiyo Dkt. Ellen Otaru (wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Exim yajenga vyoo shule ya msingi Kilakala
BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi vyoo vya kisasa kwa shule ya msingi Kilakala iliyopo wilayani Temeke, Dar es Salaam ikiwa ni jitihada zake za kuboresha usafi na mazingira ya kujifunzia...
10 years ago
MichuziBENKI YA NIC YATOA MADAWATI 25 SHULE YA MSINGI CHAMANZI
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii BENKI ya NIC imetoa msaada wa madawati 25 katika shule ya msingi Chamanzi yenye thamani ya Sh.Milioni tatu kutokana na shule hiyo kukabiliwa na changamoto ya madawati.
Akizungumza baada ya kukabidhi madawati hayo, Mkuu wa Biashara za Kibenki,Rahim Kanjii amesema kuwa shule hiyo waliona ina...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HdnHP8lcGkc/VbEkd0-a6KI/AAAAAAAHrUI/TTzkE9s252Y/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
BENKI YA NMB YAKABIDHI MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI MWANZA NA MUSOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HdnHP8lcGkc/VbEkd0-a6KI/AAAAAAAHrUI/TTzkE9s252Y/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p3wR_W3yjhU/VbEkd_KGpUI/AAAAAAAHrUM/aYcW87wYP2w/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Benki ya Posta Tanzania, yasaidia shule za msingi wilayani Ileje mkoani Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-abIV-EwZRWM/VcWOrMQvIpI/AAAAAAAAXSc/-nWNTa1Vx9s/s640/Mbene_TPB%2Bschool%2Bdesks.jpg)
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa kama msaada na benki hiyo, kusaidia shule mbili za msingi wilayani Ileje, mkoa wa Mbeya, hivi karibuni.
NA K-VIS MEDIA
Benki ya Posta Tanzania (TPB) kupitia tawi lake la Tunduma, imetoa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi Milioni Tatu kwa shule mbili za...
5 years ago
MichuziBenki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...
9 years ago
VijimamboBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza katika hafla ya kukabidhi madawati 200 kwa Shule ya Msingi Buyuni iliyopo ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam. Madawati hayo yametolewa na Benki ya CRDB ili kukabiliana na upungufu wa madawati shuleni hapo.
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Shule ya msingi Kiimbwa Mkuranga yanufaika na msaada wa Madawati 100 toka KCB Benki
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kiimbwa iliyopo Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Eugema Njau(kushoto) akipokea moja ya msaada wa madawati kati ya 100 toka kwa Ofisa Masoko wa Benki ya KCB Tanzania, Margaret Mhina (kulia) Msaada huo ni mwendelezo wa mradi wao wa kugawa madawati 1000 kwa shule za msingi. Wanaoshuhudia wapili kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa kijiji Ramadhani Bakari na Meneja wa benki hiyo tawi la Buguruni Luck Mwakitalu.
Ofisa wa Benki ya KCB Tanzania,Magret...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DG05ADX8PVw/VbePoJ3zC9I/AAAAAAAHsRU/0znpAyOSa9s/s72-c/01tabata.jpg)
TABATA SHULE YA MSINGI YANUFAIKA NA MSAADA WA MADAWATI 100 TOKA BENKI YA KCB TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DG05ADX8PVw/VbePoJ3zC9I/AAAAAAAHsRU/0znpAyOSa9s/s640/01tabata.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M3vrd9c-rNI/VbePovO2UfI/AAAAAAAHsRY/vMlLKRJPNOw/s640/02.jpg)
10 years ago
MichuziBenki ya NBC yatoa msaada wa madawati kwa Shule ya Msingi Mlingotini mjini Bagamoyo