BENKI YA NMB YAIPA MKONO JAMII YA GEITA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/15.jpg)
Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa - Abraham Augustino (kulia) akikabidhi madawati kwa Mkuu wa Wilaya ya Geita - Manzie Mangochie (kushoto) kwa niaba ya Shule za Msingi Nyamkumbu na Ukombozi msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi milioni 10 kutoka Benki ya NMB katika hafla fupi iliyofanyika mjini Geita jana ambapo kila shule imekabidhiwa madawati 50. Wanafunzi wa Shule za Msingi Nyankumbu wakiwa na nyuso za furaha baada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
NMB yaipa ALAT mil. 150/-
BENKI ya NMB imetoa sh milioni 150 kwa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) kwa ajili ya kufanikisha mkutano mkuu wa 30 wa jumuiya hiyo. Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f2WY1amni9U/U8zV237URoI/AAAAAAAF4TA/Fsqi-aiK1aA/s72-c/unnamed+(22).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kmpysSHPm5M/VYFVnIkvewI/AAAAAAAC6_k/ZBVj1jCiBKM/s72-c/2.jpg)
BENKI YA NMB YAZINDUA RASMI FAMILIA YA KADI ZA BENKI “MASTERCARD DEBIT” ZINAZOKUBALIKA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmpysSHPm5M/VYFVnIkvewI/AAAAAAAC6_k/ZBVj1jCiBKM/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KN9dDqZWvuw/VYFVnXlWEuI/AAAAAAAC6_g/MO9a-pGQMW8/s640/3.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Benki ya NMB yavuna Sh45 bil
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MFf3C_0LJRk/XtTAHAxMqTI/AAAAAAALsMw/5S_VR9VgFwUGrbP9bIOUGGa4BTjb-jeHwCLcBGAsYHQ/s72-c/_MG_3342.jpg)
Benki ya NMB yaadhimisha Wiki ya Maziwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-MFf3C_0LJRk/XtTAHAxMqTI/AAAAAAALsMw/5S_VR9VgFwUGrbP9bIOUGGa4BTjb-jeHwCLcBGAsYHQ/s640/_MG_3342.jpg)
NMB Madaraka
![](https://1.bp.blogspot.com/-vF2JWiXd1hM/XtTAGFjfqMI/AAAAAAALsMo/lc6HT9u79IEViz28nXazGuTIT24S-JBiQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_3340.jpg)
NMB Bank House
![](https://1.bp.blogspot.com/-QXEzyFVF-eo/XtTAFxcbHAI/AAAAAAALsMk/CD2FODx0jDwUWKggAJFMIRjyqc8Jr78oQCLcBGAsYHQ/s640/Kenyatta.jpg)
NMB Kenyatta
![](https://1.bp.blogspot.com/-HGknPLuFYP0/XtTAGMkyQcI/AAAAAAALsMs/Wa715VgHqyUMPOHryZCAB07v25QoTGLDwCLcBGAsYHQ/s640/N%2B4.jpg)
NMB Clock Tower
Meneja Uhusiano Mwandamizi wa NMB Kanda ya Kaskazini anayeshughulikia Kilimo- Oscar Rwechungura alisema katika kuadhimisha Wiki ya Maziwa kwa kushirikiana na wadau wengine katika sekta ya...
5 years ago
CCM BlogMKAPA AFURAHIA UAMUZI WA KUIBINAFSISHA BENKI YA NMB
"My Life, My Purpose" kilichoandikwa na Mhe. Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mJ4nuo991P0/XlOeUWhJuOI/AAAAAAABLyc/EjohRCAcVvopAeaInnZWeb1w8S5DNeQXQCLcBGAsYHQ/s640/SAVE_20200222_083652%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
MichuziMkapa Afurahia Uamuzi Kuibinafsisha Benki ya NMB
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin Mkapa, akimkabidhi kitabu Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB- Ruth Zaipuna wakati wa hafla ya kutambulisha na kutia saini kitabu chake iliyofanyika jijini Mwanza.
Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB - Ruth Zaipuna akitoa mada kuhusu ubinafsishaji wa benki hiyo wakati wakati wa hafla ya utambulisho wa kitabu cha "My Life, My Purpose" kilichoandikwa na Mhe. Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
![](https://1.bp.blogspot.com/-trKFj8UDCDI/XlOmMuTPn7I/AAAAAAALe_Q/-vKzi5h-euAfyS6BdqjZD8yvIoYK0_YcgCLcBGAsYHQ/s640/SAVE_20200222_083652%2B%25281%2529.jpg)
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu ...
9 years ago
Michuzi30 Nov
Wafanyakazi Benki ya NMB washerehekea 'Family Day'
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F11%2FDSC_0212.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F11%2FDSC_0202.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F11%2FDSC_0206.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Co0L-MZbciQ/XqQVAJ25vvI/AAAAAAALoK0/7Fp7rG6Dy988_vI6-dBgIFPBrRG-JC3EACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200425_113402_358.jpg)
JAMII YAKIWA KUWASHIKA MKONO WASIOONA
NA DENIS MLOWE,IRINGA
JAMII imeshauriwa kuwashika mkono watu wenye ulemavu wa macho hasa katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya kuenea kwa virusi vya Corona COVID 19 kwani wamekuwa wakikabiliana na changamoto mbalimbali kutokana na hali zao.
Hayo yamezungumzwa na mganga mkuu wa Manispaa ya Iringa, Dk. Jesca Leba wakati wa mafunzo na kupokea msaada wa Barakao 200 na Sanitezer 40 kwa ajili ya walemavu wa macho uliotolewa na mdau wa maendeleo mkoa wa Iringa, Fadhili Ngajilo kuweza kuwasaidia...