JAMII YAKIWA KUWASHIKA MKONO WASIOONA

NA DENIS MLOWE,IRINGA
JAMII imeshauriwa kuwashika mkono watu wenye ulemavu wa macho hasa katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya kuenea kwa virusi vya Corona COVID 19 kwani wamekuwa wakikabiliana na changamoto mbalimbali kutokana na hali zao.
Hayo yamezungumzwa na mganga mkuu wa Manispaa ya Iringa, Dk. Jesca Leba wakati wa mafunzo na kupokea msaada wa Barakao 200 na Sanitezer 40 kwa ajili ya walemavu wa macho uliotolewa na mdau wa maendeleo mkoa wa Iringa, Fadhili Ngajilo kuweza kuwasaidia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WAZIRI KAIRUKI AIPONGEZA BENKI YA TADB KWA KUWASHIKA MKONO WAWEKEZAJI WAZAWA

Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imeahidi kuiongezea mtaji Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kutokana na namna inavyowasaidia wakulima na kuwapa kipaumbele wawekezaji wazawa.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo...
10 years ago
GPL
BENKI YA NMB YAIPA MKONO JAMII YA GEITA
10 years ago
MichuziJAMII YATAKIWA KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UKOSEFU LISHE BORA-MNG’ONG’O
Hayo ameyasema Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Masuala ya Lishe pamoja na Haki za Watoto,Lediana Mng’ong’o wakati akizindua ripoti lishe Duniani iliyokutanisha nchi mbalimbali kwa ajili ya kuweza kupata nguvu katika kupamba na lishe iliyofanyika leo katika Hoteli ya Protea,...
11 years ago
GPL
MABASI YAENDAYO KASI YAKIWA KWENYE MAJARIBIO JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboMAVAZI YA LB YAKIWA KWENYE TOLEO JIPYA LA WOMEN OF WEALTH MAGAZINE

Linda akionyesha picha kwenye magazine za Mavazi ya LINDA BEZUIDENHOUT yaliofunika usiku wa FASHION EXPERIENCE kwenye ukumbi waFERNBANK MUSEUM week iliopita jijini Atlanta


10 years ago
Mwananchi02 Aug
Mwaitege kuwashika mashabiki
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Uturuki yaapa kuwashika waliomuua wakili mashuhuri
10 years ago
Bongo513 Feb
Gadner alitongoza na kuwashika makalio wanawake mbele yangu — Lady Jaydee