Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki ya NMB yavuna Sh45 bil

Benki ya NMB imeingiza faida ya Sh134 bilioni mwaka jana na kutoa gawio la Sh45 bilioni kwa wanahisa wake .

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YAZINDUA RASMI FAMILIA YA KADI ZA BENKI “MASTERCARD DEBIT” ZINAZOKUBALIKA KIMATAIFA

 Wadau wa benki ya NMB pamoja na wageni waalikwa wakisikiliza kwa umakini hotuba ya mgeni rasmi ambaye alikuwa ni Rais mstaafu wa awamu ya tatu Mhe. Benjamin William Mkapa wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya MasterCard itakayoanza kutumiwa rasmi na benki hiyo. Uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Haytt Regency zamani Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Rais wa Master Card kanda ya Afrika ya kati, Bw. Michael Mieback, akiwahutubia wadau wa Benki ya NMB wakati wa hafla ya uzinduzi wa kadi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kizimbani kuisababishia hasara NMB bil. 1/-

WATU wa tatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na shitaka la kuisababishia National Microfinance Bank (NMB), hasara ya  zaidi ya sh bilioni moja. Wakisomewa shitaka hilo...

 

10 years ago

Habarileo

Wizara kukopa bil. 70/- NMB, CRDB kulipa wakulima

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi ILI kulipa deni la ununuzi wa nafaka kutoka kwa wakulima, hatimaye Serikali imeruhusu Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kukopa Sh bilioni 70 kutoka Benki ya CRDB na NMB ili kumaliza kero hiyo inayowakabili wakulima.

 

5 years ago

CCM Blog

NMB YATOA MKOPO WA SHILINGI BIL. 3 KWA WAKULIMA WA MUHOGO HANDENI


Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (wa pili kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi Bilioni 3, Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe maalumu kwa ajili ya vikundi vya wakulima na wasindikaji wa zao la muhogo wilayani Handeni, mkoani Tanga. Wengine kwenye picha ni Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Japhet Justin (wa pili kushoto), Mwenyekiti wa Wakulima wa zao hilo nchini, Mwantum Mahiza, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya...

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA DUNIA YAIKOPESHA TANZANIA BIL 422.8

Mwakilishi Benki Dunia, Country Director (katikati) akisaini mkopo wa fedha kwa wizara ya Afra. Kulia ni Katibu mkuu wa Wizara ya Afya, Dk. Servacius LikwelileMwakilishi Benki Dunia, Country Director (katikati) akisaini mkopo wa fedha kwa wizara ya Afra. Kulia ni Katibu mkuu wa Wizara ya Afya, Dk. Servacius Likwelile
TANZANIA imesaini mkopo wa Sh. 422.8 Bil kutoka Benki Kuu ya Dunia ili kuimarisha huduma ya afya nchini. Akisaini mkopo huo Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Servacius Likwelile amesema, mkopo huo unalenga kuimarisha huduma za awali za afya nchi inayolenga wajawazito, vichanga na watoto.
Likwelile amesema, huduma hiyo itahusisha zaidi...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya NMB yaadhimisha Wiki ya Maziwa


NMB Madaraka
NMB Bank House
NMB Kenyatta
NMB Clock Tower

Meneja Uhusiano Mwandamizi wa NMB Kanda ya Kaskazini anayeshughulikia Kilimo- Oscar Rwechungura alisema katika kuadhimisha Wiki ya Maziwa kwa kushirikiana na wadau wengine katika sekta ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wataka Sh2.3 bil zilizozuiwa benki zianzishe Vicoba

Baadhi ya wananchi wilayani Nzega, mkoani Tabora wameshauri Baraza la madiwani kutumia busara kuhusu matumizi ya Sh2.3 bilioni za ushuru wa huduma kutoka Mgodi wa Resolute, ili ziwaletee maendeleo badala ya kukaa benki.

 

5 years ago

CCM Blog

MKAPA AFURAHIA UAMUZI WA KUIBINAFSISHA BENKI YA NMB

  Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin Mkapa, akimkabidhi kitabu  Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB-  Ruth Zaipuna wakati wa hafla ya kutambulisha na kutia saini kitabu chake iliyofanyika jijini Mwanza.
 Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB - Ruth Zaipuna akitoa mada kuhusu ubinafsishaji wa benki hiyo wakati wa hafla ya utambulisho wa kitabu cha 
"My Life, My Purpose" kilichoandikwa na Mhe. Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu  Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani