Wizara kukopa bil. 70/- NMB, CRDB kulipa wakulima
ILI kulipa deni la ununuzi wa nafaka kutoka kwa wakulima, hatimaye Serikali imeruhusu Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kukopa Sh bilioni 70 kutoka Benki ya CRDB na NMB ili kumaliza kero hiyo inayowakabili wakulima.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MBRTnX6AXik/XuxjvtaWiiI/AAAAAAABMfs/VacXTFivqS8SF3Ta5xBAe4w0BF2h9UoVgCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
NMB YATOA MKOPO WA SHILINGI BIL. 3 KWA WAKULIMA WA MUHOGO HANDENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBRTnX6AXik/XuxjvtaWiiI/AAAAAAABMfs/VacXTFivqS8SF3Ta5xBAe4w0BF2h9UoVgCLcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (wa pili kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi Bilioni 3, Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe maalumu kwa ajili ya vikundi vya wakulima na wasindikaji wa zao la muhogo wilayani Handeni, mkoani Tanga. Wengine kwenye picha ni Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Japhet Justin (wa pili kushoto), Mwenyekiti wa Wakulima wa zao hilo nchini, Mwantum Mahiza, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Inakuwaje ukumbuke kukopa kulipa usahau?
KWA mtazamo wangu wa juu juu, kama kuna mtu mzima yeyote yule ambaye hajawahi kukopa katika historia ya maisha yake yote hapa duniani, basi mtu huyo atakuwa si binadamu wa kawaida...
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Kukopa simu inasikika, kulipa ‘network’ mbovu!
HALI ya maisha yetu ya kawaida kwa Watanzania tulio wengi, hakuna ambaye hajawahi kukopa hata siku moja katika historia ya maisha yake yote tangu alipoanza kuwa na akili zake timamu,...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAWATAKA WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI 'DIASPORA' KUKOPA MIKOPO YA NYUMBA
11 years ago
Mwananchi05 Feb
KNCU yakanusha kukopa wakulima kahawa yao
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qWTm17nUYfw/Xs7E1BzMDqI/AAAAAAABMQQ/2VuUcpT4uRULQvFA9QTVdMFTbeW6U19zQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_4457.jpg)
BENKI YA NMB NA SatF ZAZINDUA UTOAJI WA HUDUMA ZA KIDIJITALI KWA VIKUNDI VYA KUWEKA NA KUKOPA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qWTm17nUYfw/Xs7E1BzMDqI/AAAAAAABMQQ/2VuUcpT4uRULQvFA9QTVdMFTbeW6U19zQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_4457.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB – Ruth Zaipuna (kushoto) na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara Ndogo na za Kati wa NMB - Filbert Mponzi (Kulia) wakiwa wameshika alama ya uzinduzi rasmi wa akaunti ya NMB Pamoja. Katikati ni Mteja wa NMB Bi. Zaina Mikidadi, kutoka kushoto ni Kaimu Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB - Benedicto Baragomwa, Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa wa Serikali wa NMB Alfred Shao na Kaimu Afisa Mkuu Rasilimali watu- Emmanuel Akonaay.
Benki ya NMB na kampuni ya Savings...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
CRDB yaviongezea vyama muda wa kulipa madeni
10 years ago
Habarileo05 Jun
Zatumwa bil 10/- kulipa walimu wapya
SERIKALI imetuma Sh bilioni 10 katika mikoa mbalimbali nchini kwa ajili ya kuwalipa walimu wapya ambao wameripoti kazini mapema mwezi uliopita.
10 years ago
Habarileo14 Feb
Wataka wamiliki mgodi Mwadui kulipa deni bil.7/-
MGODI wa almasi wa Mwadui wilayani Kishapu mkoani Shinyanga unaomilikiwa na Kampuni ya Diamond Williamson unadaiwa Sh bilioni 1.6 tangu mwaka 1995 hadi 2007 kama ushuru wa huduma, hali ambayo imeonesha baadhi ya madiwani kuwa na wasiwasi huku wakihoji ni lini fedha hizo zitalipwa.