Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BIBLIA INASEMAJE KUHUSU ALIENS?

WIKI iliyopita niliishia pale wanasayansi wa Marekani walipoanza kutafuta viumbe wenye uhai (au uwezekano wa uhai) kwenye mwezi na sayari kama Mars lakini hawakufanikiwa. Wakawa wanadhani kwamba kunaweza kukawa na uwezo wa uhai/kuishi kwenye mwezi au sayari nyinginezo. Wanasayansi wenyewe kwa wenyewe wamekuwa wakitofautiana juu ya ni sayari gani hasa inaweza kuwa makazi ya Aliens? SASA ENDELEA… Inaelezwa kwamba, wanasayansi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MKE WANGU ANA MIMBA YA MWANAUME MWINGINE, JE SHERIA INASEMAJE ?

Na  Bashir  Yakub.

Wakati  nilipoandika kuhusu  talaka  na  mambo  yanayokubalika  kisheria  kama  sababu  za  talaka  nilipata   maoni  na  maswali  mengi kutoka kwa  wasomaji wetu.  Kati  ya  hao  ni mmoja  ambaye  alijitambulisha  kwa  jina   na  kuwa  ni  mkazi  wa  kinondoni  Dar es  salaam. Huyu  aliuliza  swali  lake  ambalo  ndilo  kichwa  cha  makala  haya.  Alisema  ameziona  sababu  nilizoeleza  ambazo  zinapelekea   mtu  kupewa  talaka  lakini  sababu  inayohusu  tatizo  lake ...

 

9 years ago

Michuzi

SHERIA INASEMAJE UNAPOUA WAKATI UKIJARIBU KUJILINDA/KUJIOKOA (SELF DEFENCE)

Wakati  mwingine  kujilinda  waweza  kukuita  kujitetea,kujiokoa au kujikinga.  Ni  hali  ambapo  mtu  hufanya  jitihada  za  kujinasua  katika  tendo  ovu  ambalo  linatekekezwa na  mtu  mwingine  dhidi  yake.  Mfano  wake  ni  kama  kuvamiwa  na  majambazi, kutekwa, kufanyiwa  fujo  ya  aina  yoyote, kupigwa au  kujaribu  kupigwa n.k. Matukio ya  namna  hii  au  yanayofanana  na  haya ni  sehemu  yetu  ya  maisha.  Yumkini  yanapotutokea  huw  tunachukua  hatua.  Na moja  ya  hatua    ya ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli na Biblia; Uadilifu na Sheria

ULIMWENGU na Watanzania wanamuangalia Rais John Pombe Magufuli kwa macho mawili kutizama nini ata

Ahmed Rajab

 

10 years ago

Michuzi

mashindano ya biblia yafanyika uwanja wa kaitaba leo mjini Bukoba

Mkuu wa Jeshi la Polisi mkoa wa Kagera (RPC) Henry Mwaibambe nae alipata picha ya pamoja na wasanii hao.Msanii wa muziki wa Injili, Bonny Mwaitege(kulia) akisalimiana Mtangazaji wa Radio Kasibante Mwl. Joyce Ruboz punde leo hii wakati wa kipindi cha Gospal flava cha Kasibante fm 88.5, Rose Muhando, Bonny Mwaitege na Gaston Sapula wanatarajia kupamba fainali za Mashindano ya Biblia leo hii kwenye Uwanja wa Kaitaba Bukoba mjini kuanzia saa 8 Mchana. Shindano hili lililokuwa likiendelea...

 

5 years ago

Michuzi

WIZI WA BIBLIA WAMPONZA KIBAKA DAR, WANANCHI WAMPA KIPIGO 'PAKA MWIZI'


Na Said Mwishehe,Michuzi TV

KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Ndonga mkazi wa Majumbasita jijini Dar es Salaam amejikuta akipokea kipigo cha 'Paka mwizi' kutoka kwa wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua Biblia ya muumini wa dini ya Kikristo aliyekuwa akielekea Kanisani.

Tukio hilo limetokea leo Juni 7,2020, saa 12 asubuhi Njia Panda ya Segerea eneo la reli ambapo kijana huyo kabla ya kukwapua Bibli hiyo alitoa panga lake na kisha kumpiga na ubapa wa panga mgongoni muumini huyo...

 

10 years ago

GPL

HUDUMA YA HOSANA LIFE MISSION CHAFANYA HARAMBEE YA UJENZI WA CHUO CHA BIBLIA DAR

  Baadhi ya waumini wa kituo cha Hosana wakiwa kanisani. Mch. na mwimbaji wa nyimbo za injili Ephraim Mwansasu ambaye pia ni wanzilishiwa huduma hiyo akitoa historia fupi ya kituo.…

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Kwanini baadhi ya viongozi wa kidini Washington wamekasirishwa na Trump kutumia Biblia?

Siku chache baada ya Rais Trump kuonekana amesimama mbele ya kanisa la St John Episcopal akiwa ameshikilia bibilia, zaidi ya viongozi 20 wa makanisa kutoka Washington na maeneo yaliyo karibu wamepinga kile alichokifanya.

 

5 years ago

Tech Explorist

Looking for aliens who might be looking for us

Looking for aliens who might be looking for us  Tech ExploristAstronomers want public funds for intelligent life search  BBC NewsRussian Billionaire Supports SETI With Powerful NRAO Capacity to Search For Alien Life  Sputnik InternationalThe Guardian view on looking for aliens: friends in the sky?  The GuardianNew technologies, strategies expanding search for extraterrestrial life  Phys.orgView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Gama Appeals

Make Sure Aliens Do Not Vote


Make Sure Aliens Do Not Vote - Gama Appeals
AllAfrica.com
Moshi — Kilimanjaro region is bracing for Biometric Voter Registration (BVR) as authorities take extra care to ensure no foreigners are enrolled for the forthcoming general elections in which Tanzanians have been urged to enter and come out as one.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani