Bila Lollypop nisingekuwa hapa nilipo leo – Mo Music
Muimbaji wa ‘Basi Nenda’ Moshi Katemi maarufu kama Mo Music, amesema kuwa bila kufanya kazi na mtayarishaji na mwandishi wa nyimbo Lollypop huenda angechukua muda mrefu sana kufikia mafanikio aliyonayo sasa.
Lollypop ndiye mwandishi wa ‘Basi Nenda’, wimbo uliomtambulisha na kumfungulia njia Mo Music kwenye game ya Bongo fleva.
“Lolly Pop anajua uwezo wangu wa uimbaji ukoje na ananisapoti sana, bila Lolly pop nafikiri MO Music angechelewa sana kuanzia kwenye basi nenda mpaka sasa hivi,...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/PFrndT8yczI/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo23 Mar
HAPA HUDDAH HAPA ZARI BILA DIAMOND HUKO KENYA KULIKONI
![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-6.jpg?resize=543%2C368)
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-00.jpg?resize=541%2C514)
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-0.jpg?resize=540%2C547)
![](http://i0.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/h-21.jpg?resize=387%2C545)
![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/h-4.jpg?resize=436%2C672)
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-1.jpg?resize=437%2C523)
![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/h-3.jpg?resize=558%2C648)
![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-3.jpg?resize=552%2C549)
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-4.jpg?resize=547%2C545)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/tOEbB6oW88o/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/xs5LPM2R4fQ/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/79YVldiztMg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/eNLs9HYEbKY/default.jpg)
10 years ago
Bongo508 Dec
New Music: Prezzo — Bila Mundai
9 years ago
Bongo512 Nov
Lollypop atajwa kuwania tuzo za Xtreem za Kenya
![Lolly](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Lolly-300x194.jpg)
Muimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki, Goodluck Gozbert maarufu kama Lollypop ametajwa kuwania tuzo za muziki wa injili za nchini Kenya, Xtreem Awards.
Xtreem ni tuzo kubwa nchini Kenya baada ya Groove Awards na zimeendeshwa kwa miaka miwili sasa.
Pamoja na kupata jina kwa uandishi wa nyimbo kama Basi Nenda ya Mo Music na Siachana Nawe na Nivumilie za Barakah Da Prince, Lollypop hufanya muziki wa injili kwa kutumia jina lake halisi Goodluck Gozbert.
Gozbert ametajwa kwenye...